Mororgoro.Yanapatikana wapi mzehe?
Ruby grm 1 ukiuza hukosi 80mlnKilo moja ya rubby inauzwa TZS billion 657
CONVERSION OF CARAT TO GRAMS
1 carat = 0.20 grams
Therefore 8400 carats -=420 grams= 0.42 kg
Hii rubby haifiki hata nusu kilo, lakini bei yake ni billion 276. Kwa hiyo kilo moja ya rubby inauzwa billion 657
Source: Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
Kwa hii inayoongelewa hapa, gram moja imeuzwa kwa TZS billion 0.63571 approximately equal to million 635.7; yaani mara nane zaidi ya bei uliyoitaja hapa weweRuby grm 1 ukiuza hukosi 80mln
Ikiwa grm 2 bei ina double
Thamani ya jiwe ukubwa una matter
Ova
Mahenge Longido na Tunduru ndo the best placeYanapatikana wapi mzehe?
Morogoro Kilosa milimani na Mpwapwa mkuuYanapatikana wapi mzehe?
asante kwa taarifa mkuuMahenge Longido na Tunduru ndo the best place
Morogoro Kilosa milimani na Mpwapwa mkuu
Mahenge Longido na Tunduru ndo the best place
Nenda mahenge au matombo
Ova
Mkuu mi si mchimbaji ila kuna anko wangu ndo alikuwa ana shughuli hizo alisha hama Tz yupo magharibi hukoUpatikanaji wake ukoje mkuu? Unaenda chini sana, na vifaa gani unatumia kuenda chini?
Ruby sio kama dhahabu, bei yake inategemea ukubwa wa single piece na uwezo wake wa kupitisha mwanga.Kilo moja ya rubby inauzwa TZS billion 657
CONVERSION OF CARAT TO GRAMS
1 carat = 0.20 grams
Therefore 8400 carats -=420 grams= 0.42 kg
Hii rubby haifiki hata nusu kilo, lakini bei yake ni billion 276. Kwa hiyo kilo moja ya rubby inauzwa billion 657
Source: Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
Mkuu mi si mchimbaji ila kuna anko wangu ndo alikuwa ana shughuli hizo alisha hama Tz yupo magharibi huko
MuscatYanapatikana wapi mzehe?