Kilo moja ya Ruby inauzwa TZS billion 657

Kilo moja ya Ruby inauzwa TZS billion 657

Ruby sio kama dhahabu, bei yake inategemea ukubwa wa single piece na uwezo wake wa kupitisha mwanga.
Yani kipande kikubwa cha ruby cha gram kadhaa kina thamani kuliko vipande vidogo vidogo vidogo vya kilo.
Ni ngumu kuwa na specific price ya gemstone. Dhahabu ndio ina bei ya kueleweka maana ikiyeyusha inaungwa tu
Asante kwa maelezo Kuntu. Nimeondoka na kitu.
 
Mororgoro.
Inasemekana Morogoro kuna madini mengi tu ambayo yana thamani kuzidi dhahabu, na yapo juu ardhini ni ya kuokota tu kama mawe. Na hiki ndicho kinachoweza kuwa kimesababisha hii ya sasa ika-slip away. Inaweza kuwa hata iliokotwa na mtoto mdogo halafu yeye akaenda nayo nyumbani akiwa anachezea jiwe linalong'aa, wazazi wakaliona na kumnyang'anya
Hii comment itawafanya wana jf wahamie morogoro.

wazee.wa mseleleko wakijua its simple kwenda na kubeba mzigo
 
Du! alikwambia nani iyo bei ndugu.maana yake gram moja ni zaid ya milioni 600.kila mtu angekimbia kwenda kuchimba Rubby kama bei ingekuwa iyo
Kilo moja ya rubby inauzwa TZS billion 657

CONVERSION OF CARAT TO GRAMS

1 carat = 0.20 grams
Therefore 8400 carats -=420 grams= 0.42 kg

Hii rubby haifiki hata nusu kilo, lakini bei yake ni billion 276. Kwa hiyo kilo moja ya rubby inauzwa billion 657

Source: Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
 
Du! alikwambia nani iyo bei ndugu.maana yake gram moja ni zaid ya milioni 600.kila mtu angekimbia kwenda kuchimba Rubby kama bei ingekuwa iyo

 
Back
Top Bottom