Uchaguzi 2020 Kilombero, Morogoro: Daniel Shillah, afukuzwa uanachama wa CHADEMA, Mwenyekiti agomaa asifukuzwe

Mgombea aliyepita kura za maoni kateuliwa huo mgogoro uko wapi?
 
Mkuu yaani chama Kiko sahihi sana, bila hvyo ni kukidharirisha chama.
 
Kabisa, cha kwanza ni nidhamu ya chama.

Hata mbowe mwenyewe hawezi kwenda kuchukua form bila kupitishwa na kamati kuu.
Chadema ni taasisi mkuu ukioshuka wenzako wanzako wanapanda! Chadema ina wafuasi kindakindaki ukija na umaarufu wako bila kufuata taratibu utafukuzwa tu!
 

Hivi huu ndiyo uandishi wa barua za namna hii kweli?

Barua gani ya kumfukuza uanachama mtu ama kazi halafu huelezi sababu za kumfuta/fukuza uanachama au kazi ndani ya barua?
 
Hilo swali linasaidia nini? Kwanini Shillah kapewa barua ya uteuzi? Tena zaidi ya wiki mpo kimya? Kama kuna kukiuka utaratibu tungeanza kusikia mkiwachukulia hatua viongozi kwanza lakini tunaona Shillah akifukuzwa uanachama na viongozi hao hao. Shughulikeni na blunders zenu badala ya kujitetea kizembe.
Kilombero aliyeshinda kura za maoni unamjua?
 
What if ni chaguo la makao makuu mtabaki na msimamo wenu? Kwanini viongozi wameshindwa kuchukua hatua mapema? Mtu kapewa hadi barua ya uteuzi! Kama kuna uhuni unahitaji siku ngapi kutengeua huo uhuni?
Yule ni mamluki kutoka tawi/kundi la viongozi wa dini a.k.a kundi pendwa la baba mwenye nyumba alieyumba!
 
Kutoka kwa Shillah mtandao wa Instagram amedai barua ni Batili
 
What if ni chaguo la makao makuu mtabaki na msimamo wenu? Kwanini viongozi wameshindwa kuchukua hatua mapema? Mtu kapewa hadi barua ya uteuzi! Kama kuna uhuni unahitaji siku ngapi kutengeua huo uhuni?
Makao makuu wameteua mtu mwingine hayo makao makuu unayomaanisha wewe ni yapi?

Acha cheap politics dogo
 
JAMAA INASEMEKANA NI KIBARAKA, PIA ONGEA YAKE HAINA TOFAUTI NA BASHITE.
 
Hii migogoro ya watu kutaka madaraka, inabidi wengine wawe wanacharazwa bakora, mijitu inataka madaraka Kwa nguvu bila hata kushinda,

Ndiyo inayoleta migogoro kwenye vyama, CCM yapo na huku pia yapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…