johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.
Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!