Uchaguzi 2020 Kilombero Ubunge tunakwenda na Asenga, Lijualikali tupa kule

Uchaguzi 2020 Kilombero Ubunge tunakwenda na Asenga, Lijualikali tupa kule

Kwani hiyo kazi ya kumbomoa Mbowe ndio aliotumwa na wanakilombero?
 
Kwa yale mapambio Lijuakali hawezi kukosa kazi,si ajabu akaja kuwa mkuu wako wa wilaya,save my comment.
atakosaje kazi bwana hata kama ikishindikana pale Lumumba , hata za kulisha mifugo kwa kasiri la baba mkwe!! aaaaah
 
atakosaje kazi bwana hata kama ikishindikana pale Lumumba , hata za kulisha mifugo kwa kasiri la baba mkwe!! aaaaah
Yule ataula mpaka tu maana mzee anapenda vijana wa aina yake.
 
Hatumchagui chasaka huku bora aende huko kwao akagombee, vyasaka ni wabaguzi sana wana ukabila kama Kenya walivyo. Yani huwezi kuta Engineer Wa kisumu anafanya kazi Mombasa. Kila MTU na kwao ndo wanayopenda.hukumbuki Mbowe alikuja na wazo la majimbo kujitegemea ,kila Hela ya Mwanza iendeleze Mza na sio ikaendeleze mtwara

Kuna tofauti gani na huyu aliyejenga uwanja wa ndege kwao, huku ndege inayotua huko ni ya kwake tu? Au hujui unachokataa ndio kinachoendelea na unaona sawa?
 
johnthebaptist,

Tena mbaya zaidi juzi amekiri kuwa hakusinda kihalali aliiba kura kwenye chumba cha kuhesabia kura.
Kajikata mkia mwenyewe.

Kwa maneno hayo alitaka kuwafurahisha ccm, lakini hata ccm wenyewe wanamuona bonge la dunya, maana wakiona wanavyoshinda, na walichofanya uchaguzi SM wanamdharau japo wanamsifia kwa kumng'ong'a
 
Kuna tofauti gani na huyu aliyejenga uwanja wa ndege kwao, huku ndege inayotua huko ni ya kwake tu? Au hujui unachokataa ndio kinachoendelea na unaona sawa?
Huko nako wamesoma mkuu. Enzi umeme ukifungwa mgombani kisa tu waziri akatokea huko na huku ukiacha kupelekwa sehemu potential zenye economic benefit kwa Taifa letu. Walisema kuwa wamesoma ndo lilikuwa jibu. Unamkumbuka mramba alivyojibu Taifa bungeni kuwa wao kujazana TRA ndo wamesoma. Saivi na wao wamesoma mkuu.
 
Huko nako wamesoma mkuu. Enzi umeme ukifungwa mgombani kisa tu waziri akatokea huko na huku ukiacha kupelekwa sehemu potential zenye economic benefit kwa Taifa letu. Walisema kuwa wamesoma ndo lilikuwa jibu. Unamkumbuka mramba alivyojibu Taifa bungeni kuwa wao kujazana TRA ndo wamesoma. Saivi na wao wamesoma mkuu.

Kwa hiyo umeme wa hapa Dar ulifungwa kwakuwa kulikuwa na waziri/rais mzaramo?
 
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.

Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu siku zote malaya haaminiki
 
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.

Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Hilo ni taifa la wajinga na mang'ombe kila kitu kinaenda Kama ninyi ni mazombi

Taifa limejaa matakataka na wajinga
 
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.

Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!

Kumbe huyu Lijualikali ni Mndamba na sio Mpogoro. Wapogoro nimeishi nao Sofi Majiji. Ni watu waungwana sana, nilikuwa najiuliza Mpogoro toka lini akawa SNITCH!!!!
 
Back
Top Bottom