Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakosaje kazi bwana hata kama ikishindikana pale Lumumba , hata za kulisha mifugo kwa kasiri la baba mkwe!! aaaaahKwa yale mapambio Lijuakali hawezi kukosa kazi,si ajabu akaja kuwa mkuu wako wa wilaya,save my comment.
Yule ataula mpaka tu maana mzee anapenda vijana wa aina yake.atakosaje kazi bwana hata kama ikishindikana pale Lumumba , hata za kulisha mifugo kwa kasiri la baba mkwe!! aaaaah
Jamaa ni bwege sana. China wangemning'iniza!Tena mbaya zaidi juzi amekiri kuwa hakusinda kihalali aliiba kura kwenye chumba cha kuhesabia kura.
Kajikata mkia mwenyewe
Hatumchagui chasaka huku bora aende huko kwao akagombee, vyasaka ni wabaguzi sana wana ukabila kama Kenya walivyo. Yani huwezi kuta Engineer Wa kisumu anafanya kazi Mombasa. Kila MTU na kwao ndo wanayopenda.hukumbuki Mbowe alikuja na wazo la majimbo kujitegemea ,kila Hela ya Mwanza iendeleze Mza na sio ikaendeleze mtwara
johnthebaptist,
Tena mbaya zaidi juzi amekiri kuwa hakusinda kihalali aliiba kura kwenye chumba cha kuhesabia kura.
Kajikata mkia mwenyewe.
Huko nako wamesoma mkuu. Enzi umeme ukifungwa mgombani kisa tu waziri akatokea huko na huku ukiacha kupelekwa sehemu potential zenye economic benefit kwa Taifa letu. Walisema kuwa wamesoma ndo lilikuwa jibu. Unamkumbuka mramba alivyojibu Taifa bungeni kuwa wao kujazana TRA ndo wamesoma. Saivi na wao wamesoma mkuu.Kuna tofauti gani na huyu aliyejenga uwanja wa ndege kwao, huku ndege inayotua huko ni ya kwake tu? Au hujui unachokataa ndio kinachoendelea na unaona sawa?
Huko nako wamesoma mkuu. Enzi umeme ukifungwa mgombani kisa tu waziri akatokea huko na huku ukiacha kupelekwa sehemu potential zenye economic benefit kwa Taifa letu. Walisema kuwa wamesoma ndo lilikuwa jibu. Unamkumbuka mramba alivyojibu Taifa bungeni kuwa wao kujazana TRA ndo wamesoma. Saivi na wao wamesoma mkuu.
Mkuu siku zote malaya haaminikiNimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.
Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Hilo ni taifa la wajinga na mang'ombe kila kitu kinaenda Kama ninyi ni mazombiNimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.
Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Nimeshangazwa sana na huu msimamo wa wana Kilombero kwamba ubunge wanakwenda na Aboubakary Asenga na kwamba Lijualikali arudie kazi yake ya kupanga vitabu Kanisani.
Wandamba kweli makauzu pamoja na kazi kubwa anayoifanya Lijualikali ya kumbomoa Mbowe lakini bado hamumwelewi?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!