johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ifakara bwashee!Wewe ni mkazi wa wapi?
Mtifuano ni Mkubwa Safari hii wanaccm wanamtaka mtu mwenyekiti nae anataka watu wake wakuja kubadili katiba ndio wapite,patamu hapo mwenyekiti anamiliki polisi wananchi wanamiliki kura,kumkomoa mwenyekiti ni lzm watasapoti upinzani,chama chakavu Mali ya familia ni lazima kisambaratike mwaka huuHao Wana Kilombero hawajui wenye mamlaka ya kuchagua Mbunge mwaka huu Ni kamati za CCM, ambazo zinapewa maagizo na Magufuli
Piga ua huko lazima CCM abebe hata wakipigia kura upinzani wanapoteza muda tuMtifuano ni Mkubwa Safari hii wanaccm wanamtaka mtu mwenyekiti nae anataka watu wake wakuja kubadili katiba ndio wapite,patamu hapo mwenyekiti anamiliki polisi wananchi wanamiliki kura,kumkomoa mwenyekiti ni lzm watasapoti upinzani,chama chakavu Mali ya familia ni lazima kisambaratike mwaka huu