Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
Habari wadau.,
Gari yangu inatatitizo endapo kama itakaa juani mda mrefu ukiwasha kama hazisom kwenye dashboard na ukitembea mshale wa speed hausomi pia inachange gear katika high rpm.
Mpaka baadae baadae inarudi normal, shida itakua ni nini?
Gari yangu inatatitizo endapo kama itakaa juani mda mrefu ukiwasha kama hazisom kwenye dashboard na ukitembea mshale wa speed hausomi pia inachange gear katika high rpm.
Mpaka baadae baadae inarudi normal, shida itakua ni nini?