kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Inategemeana na ukubwa engine mfano gari za cc isiyozidi 1900 husinunue ikiwa imezidi 60000 kmWakuu Gari ikiwa imetembea kilomita ngapi haifai kununua......
Msaada tafadhali
Unaweza kutoa sababu ya huu ufafanuzi wako?!Inategemeana na ukubwa engine mfano gari za cc isiyozidi 1900 husinunue ikiwa imezidi 60000 km
Cc isiyozidi 3000 chukua gari chini ya 150,000km
Cc isiyozidi 5200 unaweza ukachukua gari chini ya 300,000 km..
Km sio tu inaonesha uchakavu wa mashine, kuna vitu vingi kama vile vya body parts. Pia ukongwe wa engine sio sababu ya kupunguwa pulling power, mkuu, unaweza ukakuta gari ina 50,000 Km lakini ikawa haina nguvu kama same engine yenye 150,000 km. Hapa cha kuzingatia ni Maintainance ya engine yako. Sometimes engine ilofanyiwa overhaul hutokea kuwa na more power than engine ambayo haijafanyiwa overhaul.Unaweza kununua gari yenye km idadi yoyote, kutegemea mfuko wako. Wingi wa km inamaanisha pia uchakavu wa injini. Injini ndiyo kinu cha kufua nguvu ya gari. Ikiwa injini itakuwa imekwenda km nyingi, maana yake inaashiria kwamba msukumo sahihi wa injini hiyo utakuwa umepungua ukilinganisha na upya wake (pulling power).
Kwa kukadiria tu, gari ya petroli ili uione nzuri ni vema ikawa around 30 km, au 50 elfu na kushuka. Ikiwa kwenye laki, hata bei utaona iko chini sana. Ya dizeli, ikiwa chini ya km 150,000 ni poa sana. Km zikiwa nyingi ni dalili ya uzee wa hiyo gari. Unaweza kununua kama unachojali ni kuwa na gari tu.
Ubaya wa mjerumani are built to fail. Reviews nyingi sana mbaya kwenye haya magari, kiluxury hayana mpinzani, ki reliability? Mjapani kashindikana. Afu hawa wajeru kitu kidogo lakini kina complication hatari, wanaita german engineering wenyewe, ovyo kabisa. yaani gari zao zikiwa out of warrant bora uza faster, mana kwanzi hapo utaona ukitia pesa mfukoni inapotea, utasema chuma ulete kumbe jini benz na bimmer 😀Ukipata gari ya Mjeruman(BENZ,VW na BMW) nyingi zina speed 220kph hadi 300.Hapo Land Cruiser VX-V8 atasubiri. Uzuri wa Mjerumani gari zake zina high speed na ni nzito sana hivyo kuwa na balance kubwa iwapo barabarani.
Dah.... Unapataje gari ya 0km? Unanunulia mwisho wa mkanda kiwandani? [emoji15] [emoji15]Hata km1 tu haifai maana imetumika tayari vyema upate 0 km ingawa kwa inchi yetu ni vigumu kupata
Unaweka oda pale kiwandani ikitoka tu inapakiwa kwenye contena afu una tumiwa hiyo ngoma inamaana haiwekwi kwenye eneo LA packing.Dah.... Unapataje gari ya 0km [emoji15] [emoji15]
Aina gani hyo gari yako mkuu?.Ni kweli kabisa prondo.
Nina gari yangu iliyotengenezwa mwaka 2004 niliiagiza toka uingereza miaka 4 iliyopita. Kwa sasa in km 246,000 lakini wallahi mashine yake muruwa kama cherehani.
Mara nyingi hupata kigugumizi nikipata safari ya Arusha, je nipande ndege au niendeshe gari yangu.
Na huko barabarani mambo yake si mchezo. Hizo vx V8 mbali na kuwa mpya kabisaa nazihesabu kama vile hazipo.
Gari matunzo. Ifanyie service stahili nawe utaifurahia.
Du nilizaliwa nikakuta baba ana gari hadi sasa ni miaka 36bado anaiendesha nahisi hadi azeeke ataniridhisha ina maana gari haina ukomo wa km waweza nunua any km unayokuta nayo gari
Usinunue garikwaku angalia kilomita ztakupoteza kwani kunautala sikuizi wakuludisha kilomita nyuma nazkasoma gari imekimbia kilomita chache sana baada yahapo matatizo yakaanza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Km 10,000,000