Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Usiangalie kilometers angalia uzima wa gari kuna gari zina km chini ya laki lakini zimechoka kabisa na nyingine zaidi ya laki 3 lakini ziko bomba hasaWakuu Gari ikiwa imetembea kilomita ngapi haifai kununua......
Msaada tafadhali