Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Mzee kilomoni amefanya mahojiano na kuweka bayana kuwa mwekezaji wa Simba Mo ni MTU mjanja mjanja mtu anayetaka kuimiliki Simba kwa kutumia mgongo wa viongozi wabovu walioko Simba wakiongozwa na kilaza nkwambi ambaye aliupata uwenyekiti wa Simba kwa rushwa ya mwekezaji
Mzee kilomoni amesema yupo tayari kutoa hati za Simba kama tu mwekezaji atafuata mashariti ya mkataba
Amesema mwekezaji anatakiwa aweke billion 20 kwenye account ya Timu na kuacha ujanja ujanja wa kutumia pesa alizovuna Simba kwenye michezo ya kimataifa na kuzigeuza za kwake
Pia amegusia kuwa Mo amefaidika zaidi toka aingie Simba kuliko Simba ilivyonufaika ametolea mfano amesema Mo anatumia nembo ya Simba kufanya biashara ila pesa ya uwekezaji hataki kutoa!!! Je huyu ni mwekezaji kweli?
Tunashukuru mzee kilomoni kwa kulinda heshima ya klab yetu na kukataa klabu kuwekwa mfukoni na MTU
Tunajua anataka hati ili aende kukopa kwenye mabenki afanye biashara zake na baadae anaweza kuiuza club kwa MTU mwingine bila sisi kujua
Nakupongeza sana Mzee kilomoni kwa kukataa pesa za mo japo alikufuata hadi kwako akitaka akurubuni, usiwe kama kina nkwambi waliowekwa mfukoni na mo hatar hawajui majukumu yao
Tuwaenzi wazee wetu
Mzee kilomoni amesema yupo tayari kutoa hati za Simba kama tu mwekezaji atafuata mashariti ya mkataba
Amesema mwekezaji anatakiwa aweke billion 20 kwenye account ya Timu na kuacha ujanja ujanja wa kutumia pesa alizovuna Simba kwenye michezo ya kimataifa na kuzigeuza za kwake
Pia amegusia kuwa Mo amefaidika zaidi toka aingie Simba kuliko Simba ilivyonufaika ametolea mfano amesema Mo anatumia nembo ya Simba kufanya biashara ila pesa ya uwekezaji hataki kutoa!!! Je huyu ni mwekezaji kweli?
Tunashukuru mzee kilomoni kwa kulinda heshima ya klab yetu na kukataa klabu kuwekwa mfukoni na MTU
Tunajua anataka hati ili aende kukopa kwenye mabenki afanye biashara zake na baadae anaweza kuiuza club kwa MTU mwingine bila sisi kujua
Nakupongeza sana Mzee kilomoni kwa kukataa pesa za mo japo alikufuata hadi kwako akitaka akurubuni, usiwe kama kina nkwambi waliowekwa mfukoni na mo hatar hawajui majukumu yao
Tuwaenzi wazee wetu