Kilomoni ni Mzee wa kupigiwa mfano, ampa somo mwekezaji kajanja

Kilomoni anawakilisha kundi kubwa,nenda hata wewe kwake ukamtishie amani afu utajua kitakachokupata
inakuwaje huyu mzee anashindwa kunyang'anywa?? Kwani Sunderland ndio jina lake ye sikashika kwaniaba ya wwnachama wengine? hivi vizee hivi si vyakusukuma na kudondoka

Wanaume wa dar es saalam wanakwama wapi
 
Nakuona ulivyokurupuka kutoka kusikojulikana huku umelowa jasho kuanzia kichwani mpaka makalioni bila hata kujua nani mtoa muamala.

Duh ombaomba fc mna shida sana
Kama ni hivyo kwanini mnashindwa kumpa huo Muamala ili akae kimya na kuwapa Hati?
 
Reactions: Tui
inakuwaje huyu mzee anashindwa kunyang'anywa?? Kwani Sunderland ndio jina lake ye sikashika kwaniaba ya wwnachama wengine? hivi vizee hivi si vyakusukuma na kudondoka
Wanaume wa dar es saalam wanakwama wapi
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
 
Halafu Watu wanapeleka lawama kwa Makocha mpira wetu kuwa chini
 
Hati mpya imeshapatikana.Yeye akae na hiyo ya zamani itamsaidia. BRELA hatambuliki.Amebakia kuitisha mikutano na waandishi wa habari.Simba sio mali yake.Ni mali ya wanachama wa Simba.
 
Eti toka aingie Simba amenufaika sana, kwani amenufaika na timu inapata matokeo na kuleta maendeleo ya mpira kuna shida gani?

Watu masikini sijui wana shida gani?
 
Reactions: Tui
Hati mpya imeshapatikana.Yeye akae na hiyo ya zamani itamsaidia. BRELA hatambuliki.Amebakia kuitisha mikutano na waandishi wa habari.Simba sio mali yake.Ni mali ya wanachama wa Simba.
Asilimia 45% kwa wawekezaji 3 lazima mfuate sheria
 
Nafikiri umesoma alichoandika MO leo kwenye Instagram. Makwasukwasu FC mtangoja sana.
 
Eti toka aingie Simba amenufaika sana, kwani amenufaika na timu inapata matokeo na kuleta maendeleo ya mpira kuna shida gani?

Watu masikini sijui wana shida gani?
Mkuu jaribu kufikiri na mbele

Kilo is right...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…