Kilomoni usitishwe na propaganda za wahuni na wanaotaka kuiuza simba

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Leo kuna Kiongozi wa simba ameita waandishi wa habari lengo kuu ikiwa ni kumtia mkwara mzee kilomoni asalimu amri aungane na matapeli yaliyojivika jina la uwekazaji

Mzee milimani tu nakuhakikishia sisi tulioapa simba haitauzwa kwa mtu Tupo imara kuliko wakati wowote
Na wakitaka kujua ngumvu ya mamba kwenye maji watumie wanasheria wao wakupeleke mahakamani ndio watajua nguvu ya simba hasa ipo wapi

Kama manji alivyoikimbia yanga hata yeye ataikimbia tu
 
huyo Mo why asianzishe timu yake kama azam? aache janja janja.. mbona kazikimbia singida utd na kaikimbia african lyon..

anatumia jina la simba kujinufaisha.. jezi ya simba ina lebo ya mo energy kwa mkataba upi?
 
Mo ni tapeli ataondoka Kama walivyoondoka wengine wacha apige kelele atachoka mwenyewe
huyo Mo why asianzishe timu yake kama azam? aache janja janja.. mbona kazikimbia singida utd na kaikimbia african lyon..

anatumia jina la simba kujinufaisha.. jezi ya simba ina lebo ya mo energy kwa mkataba upi?
 
Wengi wape mkuu.. Bora iuzwe
 

Alisema imepotea so simba mpya imeenda kuomba hati mpya serikalin coz Ardhi ni mali ya serikali so huyo mzee hana jipya tena
 
Unataka simba iuzwe kwanini? Katiba ya simba inaruhusu wawekezaj na sio mtu mmoja atake kuimliki
Sijataka iuzwe na wala mimi sio mshabiki mkubwa wa mpira wa Tanzania kwasabu haunivutii ila sioni ajabu kwa timu kumilikiwa na mtu maana nyingi tu zinamilikiwa na watu tena club kubwa duniani.

Ndio maana nauliza simba ikiuzwa tatizo ni nini?itafanya vibaya kwenye ligi au itapotea au nini tatizo haswa.
 
Basi kama mpira haukuvutii sina sababu ya kukueleza kwanini Simba isiuzwe

Endelea kukaa gizani
 
[emoji3][emoji3] waende mahakamani wapewe waache kulia lia
Ulisikia kilomoni anasema imopotea? Au unalishwa maneno na hao wawekezaji wahuni
Alisema imepotea so simba mpya imeenda kuomba hati mpya serikalin coz Ardhi ni mali ya serikali so huyo mzee hana jipya tena
 
na kuna picha za wachezaji wa SIMBA kwenye mabango ya matangazo ya vinywaji vya Mo! Sijui wqchazaji wanalipwa haki za matangazo yale!
huyo Mo why asianzishe timu yake kama azam? aache janja janja.. mbona kazikimbia singida utd na kaikimbia african lyon..

anatumia jina la simba kujinufaisha.. jezi ya simba ina lebo ya mo energy kwa mkataba upi?
 
huyo Mo why asianzishe timu yake kama azam? aache janja janja.. mbona kazikimbia singida utd na kaikimbia african lyon..

anatumia jina la simba kujinufaisha.. jezi ya simba ina lebo ya mo energy kwa mkataba upi?
Yaani mashabiki wa vyura bana, mo mbona atawapelekesha sana pamoja na huyo mzee wenu kilomoni asiyejulikana popote kwa sasa ndani ya simba. Na msichojua kuhusu mo extra ni kwamba waliingia udhamini wa miaka 2 kwa shilingi milioni 280 kama sijakosea, mwakani mkataba utaisha na utaongezwa mwingine tena. Kumbukeni kinywaji cha mo extra ni moja kati ya vimiminika vingi vinavyozalishwa ndani ya kampuni ya metl ambayo mo ndie mtendaji mkuu.

So kampuni imetumia moja ya vinywaji inavyozalisha kuidhamini team pamoja na kukitangaza pia kwa kuwa kinywaji bado hakina muda mrefu.

Mo sio manji alieitumia yanga na quality group yake bila malipo yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…