Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Leo kuna Kiongozi wa simba ameita waandishi wa habari lengo kuu ikiwa ni kumtia mkwara mzee kilomoni asalimu amri aungane na matapeli yaliyojivika jina la uwekazaji
Mzee milimani tu nakuhakikishia sisi tulioapa simba haitauzwa kwa mtu Tupo imara kuliko wakati wowote
Na wakitaka kujua ngumvu ya mamba kwenye maji watumie wanasheria wao wakupeleke mahakamani ndio watajua nguvu ya simba hasa ipo wapi
Kama manji alivyoikimbia yanga hata yeye ataikimbia tu
Mzee milimani tu nakuhakikishia sisi tulioapa simba haitauzwa kwa mtu Tupo imara kuliko wakati wowote
Na wakitaka kujua ngumvu ya mamba kwenye maji watumie wanasheria wao wakupeleke mahakamani ndio watajua nguvu ya simba hasa ipo wapi
Kama manji alivyoikimbia yanga hata yeye ataikimbia tu