Kilosa: DC Shaka Hamdu akutana na kufanya kikao maaalum na Jeshi la Polisi kuelekea Kilosa yenye maendeleo endelevu

Kilosa: DC Shaka Hamdu akutana na kufanya kikao maaalum na Jeshi la Polisi kuelekea Kilosa yenye maendeleo endelevu

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20230301-WA0183.jpg


Mkuu mpya wa Wilaya ya Kilosa Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka leo akiambatana na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, amefanya kikao kazi na viongozi wa Jeshi la Polisi.

IMG-20230301-WA0188.jpg

Viongozi hao wa Jeshi la Polisi waliongozwa na ACP Hassan Maya, Afisa Mnadhimu wa Polisi, Mkoa Morogoro, Mkuu wa Polisi Wilaya Kilosa pamoja na askari wa vyeo mbali mbali ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mkakati kusimamia utekelezaji wa masuala ya Ulinzi na Usalama Wilayani humo katika kuelekea Kilosa yenye fursa kwa wote.

IMG-20230301-WA0185.jpg


#Kilosaye2Fursaze2
#Uongoziwapamoja
#MaendeleoEndelevu
 
Piga kazi Shaka,

Niko hapa Arusha Bwana Lema kapokelewa na Wahuni wachache Sana unadhani ni ujio wa Hayati Dkt Shika,

Arusha ni CCM tu,
 
Shaka kama Shaka fresh lakini mwanangu gonga kazi
 
Mkuu Wewe humu unaheshimika Sana,haya sio ya Great thinkers
Ngoja nione akatavyo maliza mambo ya wakulima na wafugaji huko

Kwa tunayo ijuwa hiyo wilaya na changamoto hiyo,tutakuwa wafuatiliaji

Ova
 
Back
Top Bottom