abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Barabara imejengwa kwa Kodi za Wananchi, mmeifunga kusudi ilihali hakuna gari yoyote ya Mwendokasi inayopita! Tunateseka na foleni huku pembeni tunaona Barabara Iko tupu.
Not fair! Huku kwetu kura mnazoaga tu, kwa nini mnatunyanyasa?
Not fair! Huku kwetu kura mnazoaga tu, kwa nini mnatunyanyasa?