Kim Jon-Un: Ktk miaka 5 North Korea itarusha na kuweka angani setilaiti nyingi za kijeshi ili kuchunguza shughuli za kijeshi za Marekani

Kim Jon-Un: Ktk miaka 5 North Korea itarusha na kuweka angani setilaiti nyingi za kijeshi ili kuchunguza shughuli za kijeshi za Marekani

North korea ni kelele tu mkuu kama hao russia waangalie wanavyo struggle huko Kiev, walijua siku 2 tu wataisambaratisha ukraine na Kiev sasa wameona watumie kemikali za sumu kuua watu maana kwa mkono wameshindwa
kama US ambalo mnaaminishwa ndio taifa kubwa KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI halikuweza kuiteka BAGHDAD ndani ya siku hizo mbili
mlitegemea kwamba nchi maskini mnavyoaminishwa kama RUSSIA ingeweza kufanya hvyo ndani ya siku mbili
poleni sanaa!
 
kama US ambalo mnaaminishwa ndio taifa kubwa KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI halikuweza kuiteka BAGHDAD ndani ya siku hizo mbili
mlitegemea kwamba nchi maskini mnavyoaminishwa kama RUSSIA ingeweza kufanya hvyo ndani ya siku mbili
poleni sanaa!
Mkuu jeshi la marekani lilitua Baghdad wiki 2 tu
 
Back
Top Bottom