Cohenlukinga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 279
- 352
Ngoja niende kutoa posa kwa kiduku chap!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanajizaa dunianiHuko South Korea kuna picha zimeonekana bwana kiduku akimpleka binti yake sehemu ya kurusha makombora. Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka na samaki mkunje kabla hujamkaanga.
Mtoto huyu inaonesha kuandaliwa kwenye uongozi.
View attachment 2422900
Huyo mtoto yupo mafunzoni lazima kesha pewa silaha na kuua watu wasio wazalenda kama samia kwa kuwa fumua ubongo na risasi.ni moja ya mafunzo muhimu sana kabla ya mtoto wa kiongozi mkubwa kuanza kushirikishwa kwenye shughuli nyeti za kijeshi.Huko South Korea kuna picha zimeonekana bwana kiduku akimpleka binti yake sehemu ya kurusha makombora. Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka na samaki mkunje kabla hujamkaanga.
Mtoto huyu inaonesha kuandaliwa kwenye uongozi.
View attachment 2422900
Ndugu kingereza kichanganya watu!! wanashindwa kutofautisha kusini na kaskazin.Kumbe huyo kim jong ni kiongozi wa korea kusin???? [emoji849][emoji849]Na sio kaskazin
anae tena wanafanana kama mapacha lakini litundu sana haliaminiki kwa idara... madikteta yanavyopenda watoto wa kiume; huyu hana wa kiume?
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha kudadadekiAkija kuguswa g spot na kina Rodman kwisha habari yake........