Kim Jong Un ampeleka binti yake kwenye kurusha kombora na hakuna anayejua kwanini

Kim Jong Un ampeleka binti yake kwenye kurusha kombora na hakuna anayejua kwanini

Akija kuguswa g spot na kina Rodman kwisha habari yake........
 
Huko South Korea kuna picha zimeonekana bwana kiduku akimpleka binti yake sehemu ya kurusha makombora. Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka na samaki mkunje kabla hujamkaanga.

Mtoto huyu inaonesha kuandaliwa kwenye uongozi.

View attachment 2422900
Kuna watu wanajizaa duniani

Huyu mwamba anaweza kukataa hata mtoto asiefanana nae sura maana akili yake anaijua mwenyewe.
 
Huko South Korea kuna picha zimeonekana bwana kiduku akimpleka binti yake sehemu ya kurusha makombora. Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka na samaki mkunje kabla hujamkaanga.

Mtoto huyu inaonesha kuandaliwa kwenye uongozi.

View attachment 2422900
Huyo mtoto yupo mafunzoni lazima kesha pewa silaha na kuua watu wasio wazalenda kama samia kwa kuwa fumua ubongo na risasi.ni moja ya mafunzo muhimu sana kabla ya mtoto wa kiongozi mkubwa kuanza kushirikishwa kwenye shughuli nyeti za kijeshi.
 
hayo makombora huwa yanaendaga wapi kila anapayafyatua,ni kweli aitakuja siku akakosea kuelekeza likaenda kwenye nchi nyingine za jirani?
 
Kuna nchi hapa duniani priority yao ni kutafuta pesa kutengeneza makombola ya kufika US. Haka ka mjamaa aka ka Rocket Kid katakipata kanachokitafuta very soon.
 
Back
Top Bottom