N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Yuulee star maarufu wa huko USA ambae umaarufu wake umetokana na sababu nyingi zikiwemo zile neema kubwa kubwa ametia nia mbele ya korti za Taifa hilo nambari moko akidai talaka kwa rapa mashuhuri Kanye West.
Duuuruu za unyetishajii huko America zinadai kuwa wawili hao waliooana kwa miaka 7 sasa na kujenga famili pamoja huku wakigonga kurasa za burdan koote dunian sasa wamechookaana
Kim mwenye 40 hiv sasa pamoja na mpenziwe huyo rapa wa huko ng'ambo ni maselebriti maarufu sana duniani
Kuhusu watoto Kim anaiomba mahakama iweke utaratibu...tovuti ya unyetishaji ya TMZ na shirika la news la UK [emoji636] ndho wenye wamebrekisha hizi nyuzi...
Duuuruu za unyetishajii huko America zinadai kuwa wawili hao waliooana kwa miaka 7 sasa na kujenga famili pamoja huku wakigonga kurasa za burdan koote dunian sasa wamechookaana
Kim mwenye 40 hiv sasa pamoja na mpenziwe huyo rapa wa huko ng'ambo ni maselebriti maarufu sana duniani
Kuhusu watoto Kim anaiomba mahakama iweke utaratibu...tovuti ya unyetishaji ya TMZ na shirika la news la UK [emoji636] ndho wenye wamebrekisha hizi nyuzi...