Wee unagonga na kusepa zako huna shida ya kuoa sii hela unayo.Nyapu ya kizungu tamu sana mzee baba,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee unagonga na kusepa zako huna shida ya kuoa sii hela unayo.Nyapu ya kizungu tamu sana mzee baba,
Kylie na yeye is full of plastic surgery.Thats true, Kourtney is waaay better than kim, but KYLIE IS THE BADDEST....ndio mana nasemaga T-raw alikafaidi sana alianza kukakaza bado kapo under age, aisee.. Travis Scott anakojoa pazuri aisee
Wana asili ya kihindi. Sema US ukiwa minority ni minority tu.Kwani Kim Kardashian sio black
Wana asili ya Armenia, hata kwenye hii vita ya juzi Armenia na Azbaijan alitoa Dola $ million moja (1m USD) kusaidia watu wa Armenia.Wana asili ya kihindi. Sema US ukiwa minority ni minority tu.
Kylie na yeye is full of plastic surgery.
Yaani wakili
Hebu nielezee vizuri best, we uko nao hapo west hollywood gate 3, st007Kimye is no more.
Hebu nielezee vizuri best, we uko nao hapo west hollywood gate 3, st007
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
www.cinemablend.com
Hebu nielezee vizuri best, we uko nao hapo west hollywood gate 3, st007
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Watu kama sie ni bora ukutane na malaya kama charokee nitaenjoy kuliko dem wa hvHuyu demu ana watoto wanne? Aisee..
View attachment 1707023
Kim kardashan hata kama ameisha ana utajiri Wa dola 750,000,000/_ (750M) .huyo si mtu Wa njaa tena. hata kwa viwango vya Marekani. Mume wake kanye west ana (1.2 bilion dollars za US. Yeye anataka Uhuru tu anadai mume ni katili amechoka kuvumilia hill. Swala LA pesa kila kati yao kila mmoja najtoshleza halitajwi kwenye talaka.Mbwembwe tu za Kim hakuna taraka, maana anajua kaisha soko la mvuto nataka kupiga kiki ili awavutie watazamani wa reality tv
Na madeni anayokiasi gani? Hiyo ni gross je net amount ni kiasi gani?Kim kardashan hata kama ameisha ana utajiri Wa dola 750,000,000/_ (750M) .huyo si mtu Wa njaa tena. hata kwa viwango vya Marekani. Mume wake kanye west ana (1.2 bilion dollars za US. Yeye anataka Uhuru tu anadai mume ni katili amechoka kuvumilia hill. Swala LA pesa kila kati yao kila mmoja najtoshleza halitajwi kwenye talaka.
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Kuna Bunz 4 Ever.. Dah habari nyingine ile.Watu kama sie ni bora ukutane na malaya kama charokee nitaenjoy kuliko dem wa hv
Mbona hata uku bongo kila siku kuachana....halafu wote Wana mkwanja hakuna wakumfilisi nwenzieOperesheni ya kuendelea kuwafilisi Black Hipop Billionaire's
Walisainishana pre-nup.Operesheni ya kuendelea kuwafilisi Black Hipop Billionaire's