Kimaadili ya kitanzania, mtu hatakiwi kukaa meza moja na mama mkwe siku nzima. Mchengerwa badilika

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Tokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania.

Nini kifanyike?

Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za kisiasa ambazo zinazomuweka karibu na rais kuliko kawaida ikiwezekana aende hata Chadema.
 
Duh........😎

Hilo nalo neno😀
 
Pamoja na kwamba mimi sio muumini wa hayo majizi ya kura, kwani amekaa naye kama mama mkwe, au amekaa naye kama mamlaka yake ya uteuzi?
 

Yaani wewe jamaa kiboko kweli, shikamoo mama mkwe.
 
Sio Kwa waswahili mkuu
 
Ndipo HOJA nyuma ya HOJA inapoanzia,

Iweje Rais amateur mkwewe kuwa waziri?

Vipi ikitokea amepishana na mkewe home na mkewe akamsimulia mama,

Ofisi itakalika?
Kwani huyo rais hawezi kutenganisha kazi na mambo ya familia?
 
Bashe alisema tutalima mpunga mabonde ya Sukari
 
Kwa mtazamo wako, sio kwamba mteuaji ashutuwe badala ya mteuliwaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…