utakuwa mtu wa bariadi weweTokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania.
Nini kifanyike?
Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za kisiasa ambazo zinazomuweka karibu na rais kuliko kawaida ikiwezekana aende hata Chadema.
Museveni kampa uwaziri mtoto wake wa kumzaa unashangaa SSH kumpa uwaziri mkwewe?.Ndipo HOJA nyuma ya HOJA inapoanzia,
Iweje Rais amateur mkwewe kuwa waziri?
Vipi ikitokea amepishana na mkewe home na mkewe akamsimulia mama,
Ofisi itakalika?
JPM yaliyomkuts SSH kayapangua zaidi ya maramoja, tujipange Afrika imekaa kinafiki tubakie humo.Museveni kampa uwaziri mtoto wake wa kumzaa unashangaa SSH kumpa uwaziri mkwewe?.
Yapo mengi ya kujadili kwa kina, huu uzi umekaa kishambenga.
Hiyo ni sawa kusema, Jirani Huwa anampiga mkewe daily, umwambie mkeo nasi tuanzie kupigana.Museveni kampa uwaziri mtoto wake wa kumzaa unashangaa SSH kumpa uwaziri mkwewe?.
Yapo mengi ya kujadili kwa kina, huu uzi umekaa kishambenga.
Mleta mada anaanzisha uzi wa kimbea. Hii ni mada ya facebook mahali kwenye umbea wa kila aina.Hiyo ni sawa kusema, Jirani Huwa anampiga mkewe daily, umwambie mkeo nasi tuanzie kupigana.
Si utaonekana hamnazo?
Kwani Maadili ya viongozi wa umma yanasemaje?
NAPE, JANUARY MAKAMBA, KINANA, NDALICHAKO, DK.MABULA NA THE LIKE WANAJUA NGUVU ZA MCHENGERWA.Amevaa kofia yenye nyota moja , anajifanya ni mjeshi, wakati ni kijambio Tu 😂
Maadili ya Tanganyika au zenji?Lazima maadili yafuatwe kwa gharama yoyote
Wakijamba hapo hupati harufu ya ushuzi, ni udi na perfume kwa kwenda mbele.Tokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania.
Nini kifanyike?
Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za kisiasa ambazo zinazomuweka karibu na rais kuliko kawaida ikiwezekana aende hata Chadema.
Walikuwa wawili tu au kuna watu wengine pia walikuwepo?Tokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania.
Nini kifanyike?
Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za kisiasa ambazo zinazomuweka karibu na rais kuliko kawaida ikiwezekana aende hata Chadema.
Uko sahihi mfano akapumua ile harufu unafanyaje
Wakijamba hapo hupati harufu ya ushuzi, ni udi na pefume kwa kwenda mbele.
Unafikiri ni kama mama mkwe wako, kikwapa kwa kwenda mbele.
Kweli mkuuTokea asubuhi hapa Ifakara, waziri Mchengerwa na mama Samia wamekaa meza moja kwa masaa kadhaa, hii sio sawa kimaadili ya kitanzania.
Nini kifanyike?
Waziri Mchengerwa aachie nafasi zote za kisiasa ambazo zinazomuweka karibu na rais kuliko kawaida ikiwezekana aende hata Chadema.
Mama alitaka kumfukuza mpina JK akamshauri amwacheDUU HILO NALO LITAPUGUZA BEI YA SUKARI