Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea

Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
20210916_174818.jpg

Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
 
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.


Kumbukizi ya mwaka huu, maneno ya Mbunge wa Nyasa yanajieleza.

Bila shaka kutoka Nyanda za juu mpaka Mtwara ni mkeka tu, na huyu mzee atakumbukwa kwa kazi zake zilizoshikika.

 
Mikoa ya southern highlands inapotential sana, ila wao wanaitenga, kuimega na kuanzisha mikoa mipya. Kama kuivunja Mbeya na kuanzisha mkoa mpya, lile lilikuwa ni kosa basi tu kiburi cha viongozi. Hata Iringa na Rukwa nazo hivyo hivyo, wamejimegea tu.
Halafu sasa wanataka kuimegata Chato iwe mkoa.
 
Mkuu miadi mingine toka Awamu ya Kiwete
Nakuelewa sana mkuu

Serikali hua ni mwendelezo, kama Meli imejengwa kuanzia mwaka 2015 na ikakamilika 2021 January basi alikua sehemu ya mwendelezo nae anastahili kupongezwa kuwa sehemu ya succession plan.
 
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
Awamu ya 5 nchi pekee ilikuwa ni Chato.
 
Nakuelewa sana mkuu,
serikali hua ni mwendelezo, kama Meli imejengwa kuanzia mwaka 2015 na ikakamilika 2021 January basi alikua sehemu ya mwendelezo nae anastahili kupongezwa kuwa sehemu ya succession plan.
Unahangaika kuchemsha mawe yaive. Huyo anasubiria samia amalize mda wake aanzishe uzi wa kulalamika tena kuwa mbeya kulitengwa.
 
Unahangaika kuchemsha mawe yaive. Huyo anasubiria samia amalize mda wake aanzishe uzi wa kulalamika tena kuwa mbeya kulitengwa.
basi kazi ipo.
Wakati wa JK watu walisema, mzee mpole sana na wengine akiwa Mnyika Katibu Mkuu CDM mpaka akafikia kusema ni "dhaifu".

JK muda mchache kabla hajatoka IKULU akasema "nawaachia JPM ambae ni mkali", na kweli JPM alikuwa anakaza sana, wengi wakasema JPM ni dikteta na kuna wakati Rev. Msigwa akajinasibu kuwa wana-miss sana utawala wa JK.

Ni ngumu sana kujua Watanzania wanataka kiongozi wa aina gani
 
basi kazi ipo.
Wakati wa JK watu walisema, mzee mpole sana na wengine akiwa Mnyika Katibu Mkuu CDM mpaka akafikia kusema ni "dhaifu".

JK muda mchache kabla hajatoka IKULU akasema "nawaachia JPM ambae ni mkali", na kweli JPM alikuwa anakaza sana, wengi wakasema JPM ni dikteta na kuna wakati Rev. Msigwa akajinasibu kuwa wana-miss sana utawala wa JK.

Ni ngumu sana kujua Watanzania wanataka kiongozi wa aina gani
Watz ni wapuuzi wengi wetu. Rais mwenye msimamo asiyesikiliza makelele ndio anawaweza style ya magufuli. Wanalalamika kwa kila kitu. Huyu anavolalamika chato kupendelewa unaweza sema chato imejengeka kama london kumbe hata haiifiki njombe ama tukuyu...lakini dodoma, dsm na mikoa mingine kibao tu imejengwa sana enzi za magufuli ila jamaa anapaka kuwa ni chato tu ndi imejengwa
 
Watz ni wapuuzi wengi wetu. Rais mwenye msimamo asiyesikiliza makelele ndio anawaweza style ya magufuli. Wanalalamika kwa kila kitu. Huyu anavolalamika chato kupendelewa unaweza sema chato imejengeka kama london kumbe hata haiifiki njombe ama tukuyu...lakini dodoma, dsm na mikoa mingine kibao tu imejengwa sana enzi za magufuli ila jamaa anapaka kuwa ni chato tu ndi imejengwa
Chato ni mji mdogo na wa kawaida sana, wakati wa msiba wa JPM ilidhihirika; ila kwa kuwa watu wengi wanapenda kudanganya na kuna uvivu wa kutafuta facts, basi uongo unapata kick mchana peupe.
 
Mikoa ya southern highlands inapotential sana, ila wao wanaitenga, kuimega na kuanzisha mikoa mipya. Kama kuivunja Mbeya na kuanzisha mkoa mpya, lile lilikuwa ni kosa basi tu kiburi cha viongozi. Hata Iringa na Rukwa nazo hivyo hivyo, wamejimegea tu.
Njaa ya madaraka/vyeo vipya
 
Nakuelewa sana mkuu

Serikali hua ni mwendelezo, kama Meli imejengwa kuanzia mwaka 2015 na ikakamilika 2021 January basi alikua sehemu ya mwendelezo nae anastahili kupongezwa kuwa sehemu ya succession plan.
Kazi iendelee. Anayesema miradi iliyoachwa na Magu, eti Mama kaitekeleza mkome. Mnaona kazi ilivyofanywa!

Miradi yote aliyoiacha Magu itatoboa tu, kwani miradi hiyo haikuwa kwa faida ya Magu bali ni kwa faida ya watanzania na hasa wale waishio pale miradi inapotekelezwa. Wafitini mkomeeeeee mpaka mkomae!
 
Jiwe alipeleka maendeleo sehemu 4 tu, yaani Chato, Mwanza, Dodoma na Dar es salaam! Hizo 2 za mwisho ndo kwavile ilikuwa haizuiliki vinginevyo maendeleo yangeishia Chato na Mwanza peke yake! Mwanza kwa sababu ndo Dar es salaam ya Chato na Chato ni kwa sababu ni Chato!
 
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
Ila kwa wakwe zangu Mbeya ndiko alikozidisha kunyanyapaa aisee!
 
Jiwe alipeleka maendeleo sehemu 4 tu, yaani Chato, Mwanza, Dodoma na Dar es salaam! Hizo 2 za mwisho ndo kwavile ilikuwa haizuiliki vinginevyo maendeleo yangeishia Chato na Mwanza peke yake! Mwanza kwa sababu ndo Dar es salaam ya Chato na Chato ni kwa sababu ni Chato!
Technology ni mwalimu mzuri kutukumbusha mengi yaliyofanyika nje ya huko inakodhaniwa pekee kazi ilifanyika.





 
Back
Top Bottom