Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea

Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea



Kumbukizi ya mwaka huu, maneno ya Mbunge wa Nyasa yanajieleza.

Bila shaka kutoka Nyanda za juu mpaka Mtwara ni mkeka tu, na huyu mzee atakumbukwa kwa kazi zake zilizoshikika.


Mkuu hiyo meli umeiweka tu, arabara kuelekea hapo toka Kyela HAKUNA.
Na mipango ya barabara toka Mwara ilijengwa toka enzi ya Mkapa.

Jamaa alipoingia madarakani,
WITHIN 5years,
Chato International Airport,
Chato Intrnational hospital,
Ferry mpya ya Busisi,
Daraja la Busisi,
SGR kuelekea Mwanza, VETA Chato,
CRDB Chato iliyolazimishiwa,
Hoteli ya kitalii kimataifa Chato,
Burigi National park~Chato ampapo wanyama walipelekwa kwa bodaboda!
etc. etc. etc!

Hapo hujaweka Baraza lake la Mawaziri ambao pamoja na kina Kalemani wa Chato, about mawaziri 10 kutoka Kwao Geita, Mwanza au kanda ya Ziwa.

Jamaa alikuwa Rais wa wanyonge wa Chato.
 
Mkuu hiyo meli umeiweka tu, arabara kuelekea hapo toka Kyela HAKUNA.
Na mipango ya barabara toka Mwara ilijengwa toka enzi ya Mkapa.

Jamaa alipoingia madarakani,
WITHIN 5years,
Chato International Airport,
Chato Intrnational hospital,
Ferry mpya ya Busisi,
Daraja la Busisi,
SGR kuelekea Mwanza, VETA Chato,
CRDB Chato iliyolazimishiwa,
Hoteli ya kitalii kimataifa Chato,
Burigi National park~Chato ampapo wanyama walipelekwa kwa bodaboda!
etc. etc. etc!

Hapo hujaweka Baraza lake la Mawaziri ambao pamoja na kina Kalemani wa Chato, about mawaziri 10 kutoka Kwao Geita, Mwanza au kanda ya Ziwa.

Jamaa alikuwa Rais wa wanyonge wa Chato.
kanda ya ziwa inabeba population ya 40% ya Watanzania. Kwa msingi wa suala la uwiano, ina maana kwenye kila Watanzania 10, 4 watakuwa wanatoka kanda ya ziwa.

SGR imeanzia Dar-Moro (phase 1)
Moro-Dom (Phase 2)
Phase ya Isaka-Mwanza ndio imesainiwa mwaka huu na aliezindua ni Madam President SSH. Na basically SGR haipiti Chato.

JPM atakuwa sawa na ubinadamu kama wa Mzee Pinda kujenga airport Katavi, Sumaye kujenga airport Arusha, Mwandosya kujenga airport ya Songwe akiwa waziri wa uchukuzi, Msuya kujenga lami wilaya yote ya Mwanga na kupeleka umeme kila kijiji toka enzi za mchonga, enzi za Nyerere airport ya Musoma ilikuwa functional.

Huo ni ubinadamu ila kama ni uwekezaji wa huduma za kijamii ameacha zikihudumia Watanzania huwezi kumlinganisha na baadhi ya Watanzania waliokwiba mali za umma na kuficha visiwa vya ughaibuni.

Tukipima deliverable za huyu mzee kwa miaka 5 na miezi 3 kupeleka umeme kwa vijiji elfu 10 kati ya elfu 12 kwa Tanzania yote na miradi ya maji safi na salama (kwa maana maji ya bomba) kufikia zaidi ya 60% ya Tanzania yote.
Kuna barabara ya lami Dom-Arusha via Manyara badala ya kuzunguka mpaka Singida
Barabara ya lami kwenda Ifakara/Mahenge toka Moro
Ukuta wa Mirerani na mkeka mpaka Arusha licha ya sale Tanzania kukua kwa effort ya kujenga ukuta.


Kuimarika kwa usalama kumepelekea mauzo ya uwazi kuongezeka ikiwamo govt revenue collections mpaka akina Laizer wakatokea


kwa hizo kazi itoshe kusema ni assets its worth of embracing vs liabilities.
 
kanda ya ziwa inabeba population ya 40% ya Watanzania. Kwa msingi wa suala la uwiano, ina maana kwenye kila Watanzania 10, 4 watakuwa wanatoka kanda ya ziwa.

SGR imeanzia Dar-Moro (phase 1)
Moro-Dom (Phase 2)
Phase ya Isaka-Mwanza ndio imesainiwa mwaka huu na aliezindua ni Madam President SSH. Na basically SGR haipiti Chato.

JPM atakuwa sawa na ubinadamu kama wa Mzee Pinda kujenga airport Katavi, Sumaye kujenga airport Arusha, Mwandosya kujenga airport ya Songwe akiwa waziri wa uchukuzi, Msuya kujenga lami wilaya yote ya Mwanga na kupeleka umeme kila kijiji toka enzi za mchonga, enzi za Nyerere airport ya Musoma ilikuwa functional.

Huo ni ubinadamu ila kama ni uwekezaji wa huduma za kijamii ameacha zikihudumia Watanzania huwezi kumlinganisha na baadhi ya Watanzania waliokwiba mali za umma na kuficha visiwa vya ughaibuni.

Tukipima deliverable za huyu mzee kwa miaka 5 na miezi 3 kupeleka umeme kwa vijiji elfu 10 kati ya elfu 12 kwa Tanzania yote na miradi ya maji safi na salama (kwa maana maji ya bomba) kufikia zaidi ya 60% ya Tanzania yote.
Kuna barabara ya lami Dom-Arusha via Manyara badala ya kuzunguka mpaka Singida
Barabara ya lami kwenda Ifakara/Mahenge toka Moro
Ukuta wa Mirerani na mkeka mpaka Arusha;

kwa hizi kazi itoshe kusema ni assets its worth of embracing vs liabilities.
Liabilities have left a bad taste!
Ona kina Rugemalira wanaachiwa bila masharti.
Kuna wengi tu bado hata kesi hazijaanza kusikilizwa, kama aliyekuwa DG wa RAHCo
Wengine kina mzee Shamte wa Sisal Tanga kafia mahabusu.

Hiyo ni apart from te fact that ukisikia miradi mikubwa basi over 50% inaenda kanda yake.
Itoshe kusema the world is a better place without him
RIP Him.
 
Liabilities have left a bad taste!
Ona kina Rugemalira wanaachiwa bila masharti.
Kuna wengi tu bado hata kesi hazijaanza kusikilizwa, kama aliyekuwa DG wa RAHCo
Wengine kina mzee Shamte wa Sisal Tanga kafia mahabusu.

Hiyo ni apart from te fact that ukisikia miradi mikubwa basi over 50% inaenda kanda yake.
Itoshe kusema the world is a better place without him
RIP Him.
Well, ni makosa ambayo hata ungewekwa wewe uwe mtawala/kiongozi, in the process kuna watu wangeumia.

JK ambae watu wanamsifu kuna akina Dr. Ulimboka, akina Kibanda, akina Mwangosi walipatwa na sintofahamu in the course.
Kuna wakazi wa Magomeni kota kutimliwa ili apewe mwekezaji ambapo leo wakazi wa magomeni kota wanasubiri kurejea kwenye makazi bora yaliyojengwa kwa huruma za Rais.

Kuna uwezekano mkono wa JK haukuhusika na rabsha rabsha za walioumizwa na utawala wake.

Kuna haja ya kuishi leo na kesho bila kusahau nini kilitokea jana.

Kwa sasa, twenzetu na chief Hangaya, madam President SSH
 
Well, ni makosa ambayo hata ungewekwa wewe uwe mtawala/kiongozi, in the process kuna watu wangeumia.

JK ambae watu wanamsifu kuna akina Dr. Ulimboka, akina Kibanda, akina Mwangosi walipatwa na sintofahamu in the course.
Kuna wakazi wa Magomeni kota kutimliwa ili apewe mwekezaji ambapo leo wakazi wa magomeni kota wanasubiri kurejea kwenye makazi bora yaliyojengwa kwa huruma za Rais.

Kuna uwezekano mkono wa JK haukuhusika na rabsha rabsha za walioumizwa na utawala wake.

Kuna haja ya kuishi leo na kesho bila kusahau nini kilitokea jana.

Kwa sasa, twenzetu na chief Hangaya, madam President SSH
True mkuu.
Lakini Jamaa anasahihishwa live tena na surbordinate wake, live.
Hata miezi sita hajamaliza.
Tukubali tu kwamba utawala wa upendeleo kikabila, kieneo, chuki na hata dhuluma za wazi kama ule wa Awamu ya Tano HATUTAKI TENA nchini Tanzania.
 
Well, ni makosa ambayo hata ungewekwa wewe uwe mtawala/kiongozi, in the process kuna watu wangeumia.

JK ambae watu wanamsifu kuna akina Dr. Ulimboka, akina Kibanda, akina Mwangosi walipatwa na sintofahamu in the course.
Kuna wakazi wa Magomeni kota kutimliwa ili apewe mwekezaji ambapo leo wakazi wa magomeni kota wanasubiri kurejea kwenye makazi bora yaliyojengwa kwa huruma za Rais.

Kuna uwezekano mkono wa JK haukuhusika na rabsha rabsha za walioumizwa na utawala wake.

Kuna haja ya kuishi leo na kesho bila kusahau nini kilitokea jana.

Kwa sasa, twenzetu na chief Hangaya, madam President SSH
Bad deeds of a past leadership is nothing to go by.
Ati Rais yule alinyonga wengi , mimi nimenyonga wachache, hapo hakuna hekima.
Bahatimbaya zaidi uongozi wa Magufuli ulikuwa reign of terror.
 
True mkuu.
Lakini Jamaa anasahihishwa live tena na surbordinate wake, live.
Hata miezi sita hajamaliza.
Tukubali tu kwamba utawala wa upendeleo kikabila, kieneo, chuki na hata dhuluma za wazi kama ule wa Awamu ya Tano HATUTAKI TENA nchini Tanzania.
Ni ngumu sana watu kuacha kuchukua wanafamilia kama wanadhani wanawasaidia kazi na wana uwezo.
Kwa sasa mmoja wa mawaziri ana uhusiano wa kifamilia na mkuu wa kaya, bila shaka waziri ana uwezo na weledi.
Moja ya mtoto wa mkuu wa kaya ni mjumbe wa baraza la wawakilishi; nina imani mhusika kafika pale kwa merit na favor za mkuu wa
kaya.
Mmoja wa mawaziri wa sasa baba yake aliwahi kuwa katibu mkuu wa CCM na alipata ubunge huku baba yake akiwa katibu mkuu. Bila shaka waziri huyu ana uwezo na imetokea baba yake alikuwa ni mnene hapo zamani za kale.

JK mwanae ni mbunge, na aliingia bungeni baba akiwa mkuu wa kaya. Mke wa JK na mbunge, nadhani wote hawa licha ya kuwa na uhusiano na JK ila wana uwezo kumudu majukumu yao.

Dr. Mwinyi aligombea ubunge wa Mkuranga mwaka 2000 na kupewa Unaibu waziri wa Afya na leo ni Rais wa Zbar, Amani Karume alitoka katika wadhifa usio wa juu sana ila akaweza kuwa Rais wa Zbar
Adam Malima baba yake aliwahi kuwa Waziri hapo zamani enzi za mzee Mwinyi.

Nape Nnauyu baba yake aliwahi kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM na mshauri wa Rais wa masuala ya siasa.

Makongoro Nyerere ni RC wa Manyara na vinasaba ya Mwl. Nyerere viko wazi.

Edward Lowassa, mwanae ni Mbunge wa jimbo, miaka 5 baada ya mzee wake kuachia ubunge.

The list goes on, hata Freeman Mbowe baba mkwe ndie mkiti muasisi wa CDM, muulizeni ZZK wakati katia nia kuwa mwenyekiti.

Mtoto wa JPM ni nani alie kwenye siasa wakati mzee akiwa hai au sasa baada ya kutangulia mbele za haki???
 
kanda ya ziwa inabeba population ya 40% ya Watanzania. Kwa msingi wa suala la uwiano, ina maana kwenye kila Watanzania 10, 4 watakuwa wanatoka kanda ya ziwa.

SGR imeanzia Dar-Moro (phase 1)
Moro-Dom (Phase 2)
Phase ya Isaka-Mwanza ndio imesainiwa mwaka huu na aliezindua ni Madam President SSH. Na basically SGR haipiti Chato.

JPM atakuwa sawa na ubinadamu kama wa Mzee Pinda kujenga airport Katavi, Sumaye kujenga airport Arusha, Mwandosya kujenga airport ya Songwe akiwa waziri wa uchukuzi, Msuya kujenga lami wilaya yote ya Mwanga na kupeleka umeme kila kijiji toka enzi za mchonga, enzi za Nyerere airport ya Musoma ilikuwa functional.

Huo ni ubinadamu ila kama ni uwekezaji wa huduma za kijamii ameacha zikihudumia Watanzania huwezi kumlinganisha na baadhi ya Watanzania waliokwiba mali za umma na kuficha visiwa vya ughaibuni.

Tukipima deliverable za huyu mzee kwa miaka 5 na miezi 3 kupeleka umeme kwa vijiji elfu 10 kati ya elfu 12 kwa Tanzania yote na miradi ya maji safi na salama (kwa maana maji ya bomba) kufikia zaidi ya 60% ya Tanzania yote.
Kuna barabara ya lami Dom-Arusha via Manyara badala ya kuzunguka mpaka Singida
Barabara ya lami kwenda Ifakara/Mahenge toka Moro
Ukuta wa Mirerani na mkeka mpaka Arusha licha ya sale Tanzania kukua kwa effort ya kujenga ukuta.


Kuimarika kwa usalama kumepelekea mauzo ya uwazi kuongezeka ikiwamo govt revenue collections mpaka akina Laizer wakatokea


kwa hizo kazi itoshe kusema ni assets its worth of embracing vs liabilities.
Kanda ya ziwa ina 40%,!? Unajua hiyo ni kama watu 24m. Idadi hiyo imefika kanda ya ziwa?
 
Bad deeds of a past leadership is nothing to go by.
Ati Rais yule alinyonga wengi , mimi nimenyonga wachache, hapo hakuna hekima.
Bahatimbaya zaidi uongozi wa Magufuli ulikuwa reign of terror.
Let's pursue for angels to come to govern this nation, as I can see every human who has ever been in leadership at some point, will be found fall out of "grace". Malaika huenda wakawa watenda haki zaidi, ni lindi Muumba wa mbingu na nchi ataleta malaika??
 
kanda ya ziwa inabeba population ya 40% ya Watanzania. Kwa msingi wa suala la uwiano, ina maana kwenye kila Watanzania 10, 4 watakuwa wanatoka kanda ya ziwa.

SGR imeanzia Dar-Moro (phase 1)
Moro-Dom (Phase 2)
Phase ya Isaka-Mwanza ndio imesainiwa mwaka huu na aliezindua ni Madam President SSH. Na basically SGR haipiti Chato.

JPM atakuwa sawa na ubinadamu kama wa Mzee Pinda kujenga airport Katavi, Sumaye kujenga airport Arusha, Mwandosya kujenga airport ya Songwe akiwa waziri wa uchukuzi, Msuya kujenga lami wilaya yote ya Mwanga na kupeleka umeme kila kijiji toka enzi za mchonga, enzi za Nyerere airport ya Musoma ilikuwa functional.

Huo ni ubinadamu ila kama ni uwekezaji wa huduma za kijamii ameacha zikihudumia Watanzania huwezi kumlinganisha na baadhi ya Watanzania waliokwiba mali za umma na kuficha visiwa vya ughaibuni.

Tukipima deliverable za huyu mzee kwa miaka 5 na miezi 3 kupeleka umeme kwa vijiji elfu 10 kati ya elfu 12 kwa Tanzania yote na miradi ya maji safi na salama (kwa maana maji ya bomba) kufikia zaidi ya 60% ya Tanzania yote.
Kuna barabara ya lami Dom-Arusha via Manyara badala ya kuzunguka mpaka Singida
Barabara ya lami kwenda Ifakara/Mahenge toka Moro
Ukuta wa Mirerani na mkeka mpaka Arusha licha ya sale Tanzania kukua kwa effort ya kujenga ukuta.


Kuimarika kwa usalama kumepelekea mauzo ya uwazi kuongezeka ikiwamo govt revenue collections mpaka akina Laizer wakatokea


kwa hizo kazi itoshe kusema ni assets its worth of embracing vs liabilities.
Mkuu unayemtetea wala hakuwa msukuma, ninyi kawabeba as a matter of his own convenience.
 
Ni ngumu sana watu kuacha kuchukua wanafamilia kama wanadhani wanawasaidia kazi na wana uwezo.
Kwa sasa mmoja wa mawaziri ana uhusiano wa kifamilia na mkuu wa kaya, bila shaka waziri ana uwezo na weledi.
Moja ya mtoto wa mkuu wa kaya ni mjumbe wa baraza la wawakilishi; nina imani mhusika kafika pale kwa merit na favor za mkuu wa
kaya.
Mmoja wa mawaziri wa sasa baba yake aliwahi kuwa katibu mkuu wa CCM na alipata ubunge huku baba yake akiwa katibu mkuu. Bila shaka waziri huyu ana uwezo na imetokea baba yake alikuwa ni mnene hapo zamani za kale.

JK mwanae ni mbunge, na aliingia bungeni baba akiwa mkuu wa kaya. Mke wa JK na mbunge, nadhani wote hawa licha ya kuwa na uhusiano na JK ila wana uwezo kumudu majukumu yao.

Dr. Mwinyi aligombea ubunge wa Mkuranga mwaka 2000 na kupewa Unaibu waziri wa Afya na leo ni Rais wa Zbar, Amani Karume alitoka katika wadhifa usio wa juu sana ila akaweza kuwa Rais wa Zbar
Adam Malima baba yake aliwahi kuwa Waziri hapo zamani enzi za mzee Mwinyi.

Nape Nnauyu baba yake aliwahi kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM na mshauri wa Rais wa masuala ya siasa.

Makongoro Nyerere ni RC wa Manyara na vinasaba ya Mwl. Nyerere viko wazi.

Edward Lowassa, mwanae ni Mbunge wa jimbo, miaka 5 baada ya mzee wake kuachia ubunge.

The list goes on, hata Freeman Mbowe baba mkwe ndie mkiti muasisi wa CDM, muulizeni ZZK wakati katia nia kuwa mwenyekiti.

Mtoto wa JPM ni nani alie kwenye siasa wakati mzee akiwa hai au sasa baada ya kutangulia mbele za haki???
Sioni relevance ya kutetea maovu ya yule bwana na kuyaweka kuwa kama benchmark.
Hapo ndo ninaamini kuna watu walijipendelea na kuwa whitewashed kuamini kuwa wao ni "taifa teule".
 
Technology ni mwalimu mzuri kutukumbusha mengi yaliyofanyika nje ya huko inakodhaniwa pekee kazi ilifanyika.






Fuatilia ndugu, utakuta miradi yote hiyo Magu kakuta kazi kubwa imeshafanyika, na yeye akamalizia tu! Bandari ya Mtwara kwa mfano, suala la upanuzi lilianza wakati wa amsha amsha ya gesi. Ili kuwezesha meli za vifaa mbalimbali kuweza kutia nanga, ilibidi bandari ipanuliwe.

Mtwara.png

Na hata bandari zingine, including Bandari ya Dar es salaam, Tanga na za maziwa, utaratibu ulianza kabla ya JPM. Google mwenyewe Dar es salaam Port Masterplan na Tanzania Ports Master Plan; utakuta ilianza way back, ni kama ilivyo kwa upanuzi wa barabara za Dar es salaam ambazo hizo JPM alikuta hadi pesa ishatolewa, yeye akaja kujenga tu!

Hata hiyo barabara unayoonesha, JPM alizindua tu ujenzi wake wakati hadi pesa ilishapatikana. Google "Barabara ya Arusha-Holili-Taveta", na utakuta JPM akiwa na akina Kenyatta waliweka jiwe la msingi March 2016. Sasa jiulize, ingewezekana vipi mtu aliyeingia madarakani November 2015 awe aliweza kufanya upembuzi yakinifu hadi kupata pesa ya kujenga barabara ndani ya miezi 5. Uki-Google, utakuta pesa zilitolewa na African Dev Bank kabla Magu hajaingia madarakani.
 
Kanda ya ziwa ina 40%,!? Unajua hiyo ni kama watu 24m. Idadi hiyo imefika kanda ya ziwa?
Mwanza 3M+, Geita 2M, Kagera 3M, Mara 1.7M, Simiyu 1.8M, Shinyanga 1.7M; Tabora 2.7M*** if included.
Almost 16M kanda ya ziwa or 13 M if Tabora execluded.
 
Mwanza 3M+, Geita 2M, Kagera 3M, Mara 1.7M, Simiyu 1.8M, Shinyanga 1.7M; Tabora 2.7M*** if included.
Almost 16M kanda ya ziwa or 13 M if Tabora execluded.
Muongo na muwamba ngoma njia yake ni fupi!
Kwa kuwatumia wasukuma kikabila , jamaa alijijenngea himaya ya back up ili watu wasishituke.
 
Mkuu unayemtetea wala hakuwa msukuma, ninyi kawabeba as a matter of his own convenience.

Fuatilia ndugu, utakuta miradi yote hiyo Magu kakuta kazi kubwa imeshafanyika, na yeye akamalizia tu! Bandari ya Mtwara kwa mfano, suala la upanuzi lilianza wakati wa amsha amsha ya gesi. Ili kuwezesha meli za vifaa mbalimbali kuweza kutia nanga, ilibidi bandari ipanuliwe.

Na hata bandari zingine, including Bandari ya Dar es salaam, Tanga na za maziwa, utaratibu ulianza kabla ya JPM. Google mwenyewe Dar es salaam Port Masterplan na Tanzania Ports Master Plan; utakuta ilianza way back, ni kama ilivyo kwa upanuzi wa barabara za Dar es salaam ambazo hizo JPM alikuta hadi pesa ishatolewa, yeye akaja kujenga tu!

Hata hiyo barabara unayoonesha, JPM alizindua tu ujenzi wake wakati hadi pesa ilishapatikana. Google "Barabara ya Arusha-Holili-Taveta", na utakuta JPM akiwa na akina Kenyatta waliweka jiwe la msingi March 2016. Sasa jiulize, ingewezekana vipi mtu aliyeingia madarakani November 2015 awe aliweza kufanya upembuzi yakinifu hadi kupata pesa ya kujenga barabara ndani ya miezi 5. Uki-Google, utakuta pesa zilitolewa na African Dev Bank kabla Magu hajaingia madarakani.
Boss, aliekuja na masterplan ya stiglaz ni Mchonga, aliekuja na plan ya Serikali kuhamia Idodomya ni mchonga, muasisi ya Tz development vision 2025 ni Mkapa;
Mkapa aliasisi masterplan ya SGR ya SGR
Bila shaka ni ahadi ya Rais JK kufanya upanuzi mwaka 2013; Swali, wakati anakabidhi kijiti 2015 October, kuna kiasi gani kilikuwa allocated ili kufanya mradi wa Tanga, Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza ports zipanuliwe na ziwe kwenye kufanya kazi kwa ufanisi?

Kama walitoa fedha zote, then aliefuatia akatekeleza, ni sawa na mpira wa miguu kuna mtu anatoa assit na sriker anafunga, well alitoa assit anapata credit the whole team wins.
Let's assume the greater glory goes to the guy who did set a master plan and the lesser glory goes to the guy who ensured it proceeds as planned
 
Sioni relevance ya kutetea maovu ya yule bwana na kuyaweka kuwa kama benchmark.
Hapo ndo ninaamini kuna watu walijipendelea na kuwa whitewashed kuamini kuwa wao ni "taifa teule".
Mkuu, hakuna anaetetea uovu na hakuna anaefurahia ukandamizaji au uonevu.

Nchi hii imewahi kupitia nyakati ambapo wafanyakazi hewa wanalipwa mishahara yet hakuna madawa kwenye hospitali za umma, haikuwa sawa na haitakuwa sawa.

Tukemee matendo mabaya, na tukubatie mema yaliyofanyika ili kizaza cha sasa na kijacho wawe na bechmark ya rejea kwa mema wayaige na kwa mabaya wasiyafuate.

Tanzania ni kubwa kuliko sote, na hatima ya Tanzania ni kubwa kuliko sote. JPM ametangulia mbele ya haki, itoshe kusema alipigania mkataka wa Bart Airtel ukawa surface kwa maslahi ya Tanzania.
GoT kuwa sehemu ya executive managament ya Twiga Corp haikuwa kwa manufaa ya familia yake ila familia Tz; kwa haya iko haja kumshukuru na kuenzi alichofanya.
 
basi kazi ipo.
Wakati wa JK watu walisema, mzee mpole sana na wengine akiwa Mnyika Katibu Mkuu CDM mpaka akafikia kusema ni "dhaifu".

JK muda mchache kabla hajatoka IKULU akasema "nawaachia JPM ambae ni mkali", na kweli JPM alikuwa anakaza sana, wengi wakasema JPM ni dikteta na kuna wakati Rev. Msigwa akajinasibu kuwa wana-miss sana utawala wa JK.

Ni ngumu sana kujua Watanzania wanataka kiongozi wa aina gani
Siyo Watanzania hawa ni wale wa pale magharibi ya mlima mrefu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watz ni wapuuzi wengi wetu. Rais mwenye msimamo asiyesikiliza makelele ndio anawaweza style ya magufuli. Wanalalamika kwa kila kitu. Huyu anavolalamika chato kupendelewa unaweza sema chato imejengeka kama london kumbe hata haiifiki njombe ama tukuyu...lakini dodoma, dsm na mikoa mingine kibao tu imejengwa sana enzi za magufuli ila jamaa anapaka kuwa ni chato tu ndi imejengwa
Hawa jamaa ni wale pale mlima mrefu kuliko yote hawapendi amani kabisa wanabeza kila kitu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom