je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE
SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO
NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu
Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri
Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.
Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja
Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15
Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers
Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi
Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts
Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono
Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba
Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa
Nawasilisha
SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO
NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu
Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri
Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.
Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja
Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15
Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers
Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi
Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts
Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono
Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba
Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa
Nawasilisha