Kimahesabu Simba atavuka hatua ya makundi na kwenda Robo Fainali CAF

Kimahesabu Simba atavuka hatua ya makundi na kwenda Robo Fainali CAF

Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
Mmeanza kuwa wataalamu wa hesabu
 
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
Sawa mtafuzu
Wiki kesho siyo mbali
 
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
Nimeuscreenshot huu uzi
 
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
Ukiona team inacheza mpira kwa vidole jua hakuna team
 
Bahati ipo ila chama langu mwaka huu limesajili kwa kuunga unga sana yaani kwa kuokota ukota wachezaji,sitegemei sana Kama itafanya vizuri kwa Sasa,mpaka kocha tumemuokota mwishoni,tujiandae kisaikolojia tu
 
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
Simba anashika mkia kwenye kundi lake. Horoya na vipers watapata point kwa mkapa na kule uganda simba atapigwa
 
Hi timu kila siku inajipa moyo inajiona inajua kumbe ni zero kabisa
 
Hiki kipigo tulichopata leo kimetulewesha, lakini.ni kweli Siimba bado ana nafasi ya kwenda robo fainali.

Sharti ya hili kuwezekana, lazima akashinde ugenini kwa Vipers kufidia pointi tatu alizopoteza leo, then ashinde game mbili za nyumbani, dhidi ya Vipers na Horoya.

Simba Nguvu Moja[emoji1306][emoji1306]
Nafasi wachezaji wenyewe kina Kibu na Sawadogo
 
mbona hujaweka horoya atakua anashindaje au anafungwaje
 
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE

SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA MWISHO

NEXT MATCH ANACHEZA NA VIPERS .hapa vipers ya uganda inaenda kula goli mbili kwa mtungi na hapo ndio tunaanza kuifuta robo maana kule lazima horoya atakufa goli 4 kavu

Mechi inayofuatia baada ya hapo ni simba tena dhidi ya vipers ambayo itafanyika kwa mkapa hapa nchi na nyie wote ni mashahidi hapa simba anashinda goli tatu kwa sifuri

Hapo itakuwa tayar tuna points 6 kibindoni huku raja akiwa na points 12 na horoya nne huku vibonde vipers wakiwa na point 1 tu ya ngama.

Baada ya vipers kunyolewa kwa mkapa anakuja tena horoya hapa kwa mkopa na yeyea anachezea goli zake mbili alafu anarudi kwao huku ikiwa vipers kashadungwa goli tano tena kwa mara ya pili na raja

Hapo tunakuwa na points 9 huku raja akiwa na points 15

Mechi ya mwisho tunafungwa goli 4 kwa sifuri na raja huku horoya akishinda goli moja dhidi ya vipers

Kwa hiyo sasa msimamo utasoma hivi

Raja casablanca 18 pts
Simba 9 pts
Horoya 7pts
Vipers 1 pts

Kariri bandiko langu mimi ni mtu wa karama. Mimi ni mtu wa maono

Hata ikitokea tukadraw na vipers kwa 7 points bado tunavuka hatua ijayo ya robo kwa kuwa mpinzani wetu atakuwa horoya itakuwa tumempiga goli nyingi kwa mkapa. Bado advantage ipo kwa simba

Simba anatisha na simba anapita. Kifupi simba itakuwa na mwisho mwema kwahiyo wana simba wasikate tamaa kabisa

Nawasilisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] ila kama ulivyosema kimahesabu
 
Kutoka kwenye kwa Mkapa hatoki mtu hadi kufikia hatua ya kuhesabu kwa vidole. Endelea kuhesabu hivyo hivyo ila tayari Horoya ana 4 kibindoni. Huyo Vipers mnayemuona ndio mnyonge wa kundi kuna uwezekano wa kutopata point tatu uganda. Wao wamefungwa goli 5 away simba 3 home. Hivyo tegemea lolote
[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom