je ni kweli na una ushahid mkuu kuwa panya road wanagawn vtu na policeTukisema mnashirikiana nao mnabisha na kutoa statement ndefu na waraka, mnataka kusema hamjui kuna mapango ya Panya Road na vibaka hapa Kimara Resort upande wa Theofil Ngowi Sec?
Yaani mtu unatoka kazini unaona jamaa wanatoka na mapanga marungu visu bisibisi na wameshajeruhi raia kadhaa na wengine kuibiwa kila kitu mnaripotiwa hamna kitu mnafanya ila tuliyosikia ni kuwa Polisi wanagawana nao vitu wanavyoiba mtaani.
Picha anapigaje, akipata picha na yeye ni panyaroadJitahidi na kapicha kidogo kusupport uzi wako
Hiki ni kitu tunakiona mtaani Bwashee , jana tu mchana kuna mama kavamiwa saa saba mchana na wana mapanga na nondo na visu wamechukua hela na baadhi ya vitu vyake hapo Resort hapo wala sio nje ya mji. Na polisi wapo na hawafanyi kitu wako kimya hata wakoripotiwa hawafanyi loloteDuh..... taratibu bwashee
Ushahidi upi unataka ? Kwamba hujui jeshi letu ni corrupt ? Wewe acha kujifanya sio mtanzania bana weee. Sasa hawa jamaa wana survive vipi ? Mnatuona wananchi mtaani mnafikiri hatujui haya mambo ? Acheni ujinga banaje ni kweli na una ushahid mkuu kuwa panya road wanagawn vtu na police
mkuu manen matup bila ushahid wa sauti picha au video hayawez kusaidia kitu mahakaman .. kusanya ushaidi kwanza .dunia imechange haitak ushaidi kwan we haujui kwan we haujaonaUshahidi upi unataka ? Kwamba hujui jeshi letu ni corrupt ? Wewe acha kujifanya sio mtanzania bana weee. Sasa hawa jamaa wana survive vipi ? Mnatuona wananchi mtaani mnafikiri hatujui haya mambo ? Acheni ujinga bana
Polisi wetu ni wachache sana hawatoshi kufikia kila kichochoro, toa taarifa uonapo sehemu ina wahalifu sisi wananchi tuwe wa kwanza na askari namba moja tutoe taarifa haraka Sana kwa jeshi let namba ya RPC Ipo kila mahali mjulishe juu ya hili kunungunika hakuwezi kutusaidia kwa lolote.Tukisema mnashirikiana nao mnabisha na kutoa statement ndefu na waraka, mnataka kusema hamjui kuna mapango ya Panya Road na vibaka hapa Kimara Resort upande wa Theofil Ngowi Sec?
Yaani mtu unatoka kazini unaona jamaa wanatoka na mapanga marungu visu bisibisi na wameshajeruhi raia kadhaa na wengine kuibiwa kila kitu mnaripotiwa hamna kitu mnafanya ila tuliyosikia ni kuwa Polisi wanagawana nao vitu wanavyoiba mtaani.
Tarifa imetolewa kaka na Polisi walikuja eneo la tukio na kuondoka na jamaa wakarudi wakaiba tena , hivi mnafikiri hivi vitu Polisi hawajui ? Hii nchi hii basi tu ukiwa maskini ni balaa utaishiwa kuitwa mzalendo na mengine shauri yakoPolisi wetu ni wachache sana hawatoshi kufikia kila kichochoro, toa taarifa uonapo sehemu ina wahalifu sisi wananchi tuwe wa kwanza na askari namba moja tutoe taarifa haraka Sana kwa jeshi let namba ya RPC Ipo kila mahali mjulishe juu ya hili kunungunika hakuwezi kutusaidia kwa lolote.
Toa taarifa kwa OCD Kimara kupitia 0659888739.
Kabisa aisee Puerto Tozo Rico hiyo kitengo cha cyber ndio kinanuka balaa wakipata simu kwanza wanaomba password kabisa halafu wanaiuza wanakwambia sio hii tunaendelea kutafuta.... hapafai hiyo nchiWezi na vibaka wanafugwa na kufadhiliwa na police wenyewe. Ipo siku mamlaka zitajua ukweli, mfano kitengo Cha cyber crime police ndio wanafuga wezi wa simu janja. Na hii ni kutoka nchini Puerto Tozo