mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
- Thread starter
- #21
Sawa na wewe siku ukivamiwa jirekodi kidogo ue na ushahidi ee baba halafu ndio uwape wezi hiyo simu yako waondoke wakuachie ushahidimkuu manen matup bila ushahid wa sauti picha au video hayawez kusaidia kitu mahakaman .. kusanya ushaidi kwanza .dunia imechange haitak ushaidi kwan we haujui kwan we haujaona