mkuu manen matup bila ushahid wa sauti picha au video hayawez kusaidia kitu mahakaman .. kusanya ushaidi kwanza .dunia imechange haitak ushaidi kwan we haujui kwan we haujaona
Tatizo la keyboard worrior hamuelewi yanayoendelea mtaani nyie watoto wa kota daddy am back mom am going tulieni acheni tupambane na matatizo yetu mtaani 😁😁