KIMARO: Hakuna wa Kuning'oa Vunjo!

KIMARO: Hakuna wa Kuning'oa Vunjo!

kama yuko CCM basi ajue kuwa ataunganishwa na mafisadi: atake asitake.
Kuna watu wanajifanya eti hawaitaki harufu mbaya ya maliwatoni, kwani inawakera na wakati huo huo wao wanajifungia maliwatoni na kulalamika sasa sijui tuwaweke kundi gani.

Hii ni sawa na wanaojifanya kuupinga ufisadi wakati wanang'ang'ania kuwa ndani ya CCM, ambayo ni mzazi wa mafisadi.
 
Kuna watu wanajifanya eti hawaitaki harufu mbaya ya maliwatoni, kwani inawakera na wakati huo huo wao wanajifungia maliwatoni na kulalamika sasa sijui tuwaweke kundi gani.

Hii ni sawa na wanaojifanya kuupinga ufisadi wakati wanang'ang'ania kuwa ndani ya CCM, ambayo ni mzazi wa mafisadi.

- Mkuu kwani Marehemu Wangwe na Kafulila walikuwa wanapigania nini huko chama chenu? au?

Respect.


FMEs!
 
I C UR TRUE CLOUR, shining through X2 .......
 
Kimaro hana lolote kwa jimbo lake. Mashamba anataka yagawiwe watanzania wenye uwezo wakati wale wasio na uwezo hawana hata ardhi ya kulima mahindi na maharagwe. For sure watu wenye uwezo ni pamoja na yeye, naamini anatamani sana yale mashamba. Kimaro ni bepari, hata anapokuwa anasemea habari za mafisadi ni kwa vile hakupata chance naye angekuwa ni mmoja wao. Mzee huyu anajulikana kwa unafiki wake.

Ndesamburo ndiye aliyeweka wazi katika swali lake la nyongeza kuwa anataka mashamba yagawiwe wale wote wako katika abject poverty. Ambapo ni sahihi kabisa ukilinganisha na uhaba wa ardhi kwa watu wa Kilimanjaro, hasa wachagga.

Yale mashamba kwa sasa yanalima mbogamboga na si kahawa na wengine wanalima mahindi, tofauti na mikataba ilivyoelekeza. Mengine hayalimwi kabisa. Nafahamu kuwa ardhi ni mali ya serikali, lakini ikumbukwe kuwa ardhi ile iko mkoani Kilimanjaro na wana haki nayo. Ni afadhali wananchi wa maeneo husika wagawiwe na walime mazao maana kahawa imeshaonekana ni failure kabisa.

Serikali jalini maslahi ya wananchi kwanza, na nina hakika hata meneo yaliko mashamba hayo hata ukigawa hawatoshelezi kwani demand ni kubwa mno. I wish ningekuwa President wa nchi hii. Ningefanya maamuzi ya ajabu yote yakimlenga mzalendo. Yaani tumesahau wazalendo hawa ambao ndiyo wanawapa kura?? Too sad.
 
Kama hakuna wa kumng'oa, shida yoyote ya nini kupiga kelele magazetini?

Wale ambao hawajafanya lolote la maana majimboni mwao ndio sasa wanahaha na kutumia kila sababu ili kuwadanganya wananchi.

Sidhani kama Kimaro atarudi bungeni 2010.
 
Kimaro si mpumbavu, kisha assess hali ya jimbo lake na kujiaminisha kuwa atashinda. Hivi baada ya uchaguzi mdogo kule Tarime hawa kina Mrema wawili wako katika terms za kuweza kuachiana ugombea? Nani atamwachia mwenzake ili Kimaro asirudi bungeni?

Sometimes I wonder! Hivi kuna watu wana "hatimiliki" ya majimbo? Ubunge ni nafasi ambayo inaweza kugombewa na mtu yeyote ambaye ana sifa za kugombea ili awe muwakilishi wa wananchi wa jimbo lake. Inavyoelekea katika siasa za Tanzania Ubunge unakaribia kuwa 'u-chief' ama 'u-sultani' ambapo anayeupata hawezi/hataki kukubali kwamba wapo wengine ambao wanaweze kuwawakilisha wananchi isipokuwa yeye tu. Hence watu kuendelea kufanya kila linalowezekana kuendelea kushikilia nafasi zao bila kujali kwamba wapo wengine wanaoweza kuwa wabunge na kuwawakilisha wananchi na wakati mwingine vizuri zaidi ya walivyofanya wao.

As much as I respect Kimaro, siiafiki kauli yake kwamba hakuna wa kumng'oa Vunjo; ni kauli ya kibabe! Kauli hii inaashiria kutowaheshimu wapigakura kwamba hawapaswi/hawawezi kuwa na mawazo tofauti ya kutaka mtu mwingine awawakilishe. Mbunge ama kiongozi yoyote ambaye ni mtumishi wa wananchi/wapigakura anapaswa kuwa mnyenyekevu katika kauli zake sio mbabe!

Mrema is another 'political corpse' enzi zake zilishapita anapoteza muda wake na muda wa watu wengine kumsikiliza. Aidha analeta ushindani usio na sababu kwa potential aspirants.
 
Kimaro hana lolote kwa jimbo lake. Mashamba anataka yagawiwe watanzania wenye uwezo wakati wale wasio na uwezo hawana hata ardhi ya kulima mahindi na maharagwe. For sure watu wenye uwezo ni pamoja na yeye, naamini anatamani sana yale mashamba. Kimaro ni bepari, hata anapokuwa anasemea habari za mafisadi ni kwa vile hakupata chance naye angekuwa ni mmoja wao. Mzee huyu anajulikana kwa unafiki wake.

Ndesamburo ndiye aliyeweka wazi katika swali lake la nyongeza kuwa anataka mashamba yagawiwe wale wote wako katika abject poverty. Ambapo ni sahihi kabisa ukilinganisha na uhaba wa ardhi kwa watu wa Kilimanjaro, hasa wachagga.

Yale mashamba kwa sasa yanalima mbogamboga na si kahawa na wengine wanalima mahindi, tofauti na mikataba ilivyoelekeza. Mengine hayalimwi kabisa. Nafahamu kuwa ardhi ni mali ya serikali, lakini ikumbukwe kuwa ardhi ile iko mkoani Kilimanjaro na wana haki nayo. Ni afadhali wananchi wa maeneo husika wagawiwe na walime mazao maana kahawa imeshaonekana ni failure kabisa.

Serikali jalini maslahi ya wananchi kwanza, na nina hakika hata meneo yaliko mashamba hayo hata ukigawa hawatoshelezi kwani demand ni kubwa mno. I wish ningekuwa President wa nchi hii. Ningefanya maamuzi ya ajabu yote yakimlenga mzalendo. Yaani tumesahau wazalendo hawa ambao ndiyo wanawapa kura?? Too sad.

wakati mwingine unapojenga hoja ficha ukabila wako. Ardhi kuwa Kilimanjaro ndio nini sasa? Wachaga mliozagaa kote nchini tusiwape ardhi. Ungekuwa na hoja bila kuweka hiyo sentensi yako. Ndio maana mwalimu alituasa kuwaangalia sana ninyi. Ukabila upo kwenye damu na wala hamna aibu. Kama hakuna ardhi huko nendeni Kilombero
 
Kwa kuwa CCM watasimamisha wagombea wawili kwenye Jimbo moja ,basi wa CHADEMA hana haja ya kumwachia wa CCM.

Aloyce Bent Kimaro-CCM
Agustino Lyatonga Mrema-CCM (KUSIMAMIA MASUALA YA USHUSHUSHU}

Huu ni ujinga na kujipa moyo kusiko na maana. Matokeo ya vijiji kule Vunjo yapoje? Licha ya kuchoka huyu mzee ana heshima yake. Kwanza nasikia huyo Mrema wa CHADEMA kwao ni Rombo na wachaga walivyo na ukabila wa kimaeneo sijui kama watamchagua. ni maoni tu. Ningefurahi kama chadema wangebeba chagaland yote kama NCCR mwaka 1995
 
Mwenye nafasi ni Crispin Meela yule mwanasheria atampiga chini huyu mzee anayejitapatapa kakumbuka shuka asubuhi wakati dogo amekwisha jipanga kwenye grassroot siku nyingi time will tell
 
Wavunjo wengi wanasubiri kumpatia Mrema kura zao.
Kuanzia mpakani mwa Rombo, MWIKA, MSAE,MAMBA,MARANGU, n.k
 
Kimaro hajui nguvu za Lowassa, aulizie Kyela na yule kijana wake anaye mpinga Dr wa sheria....mbinu chafu chafu
 
- Great Thinkers, hebu tupeni sample za polls huko Vunjo, no research no right to speak au?

- Tupunguze blah! blah! blah! Mbunge anasema atashinda tena kwa kishindo tunataka viongozi wanaojiamini kama huyu, sio kuanza kujutia kuingia siasa ambayo hukuwekewa bunduki na anybody kujiunga nayo!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom