Kimataifa: Magoli ya Simba na Yanga yote yamefungwa na wachezaji wa kigeni

Kimataifa: Magoli ya Simba na Yanga yote yamefungwa na wachezaji wa kigeni

Wachezaji wengi wa kibongo hawajitambui. Na mifano iko mingi kweli kweli. Wachache wanaojitambua, ndiyo hao akina Simon Msuva, Mbwana Samatta, na wengineo wanaochezea timu za nje.

Mchezaji kama Fei Toto, unaweza hata kumcharaza viboko kwa namna akili yake nje ya uwanja ilivyo dumaa.
 
Wachezaji wengi wa kibongo hawajitambui. Na mifano iko mingi kweli kweli. Wachache wanaojitambua, ndiyo hao akina Simon Msuva, Mbwana Samatta, na wengineo wanaochezea timu za nje.

Mchezaji kama Fei Toto, unaweza hata kumcharaza viboko kwa namna akili yake nje ya uwanja ilivyo dumaa.
Yaani kati ya waliobugi big time ni huyu mla ugali sukari. Hata waliomshauri wanajionea aibu.
 
Simba 7:0 horoya
Chama, baleke, kanute

Yanga 2: 0 monastir
Mayele, musonda.


Halafu anakuja mjinga mmoja anasema anataka alipwe kama wageni wakati hajui hata faulo inapigwaje.
Wachezaji wa kibongo inapaswa wajitambue.
Tujitafakari kama taifa tukiwa na wachezaji wa caliber na attitude ya Fei mla ugali sukari.
 
Kilosi Cha Yanga kilichoanza,Mwamnyeto na Sureboy ndio walikuwa wabongo!
Kikosi Cha Simba kilichoanza,Kibu,Manula,Mzamiru,Kapombe na Zimbwe ndio watanzania!
 
Simba 7:0 Horoya
Chama, Baleke, Kanute

Yanga 2: 0 Monastir
Mayele, Musonda.

Halafu anakuja mjinga mmoja anasema anataka alipwe kama wageni wakati hajui hata faulo inapigwaje.

Wachezaji wa kibongo inapaswa wajitambue.
Naona hujui maana ya team..wangekuwa wanacheza tennis sawa.
Maana ya timu kwa faida yako ni kwamba mchango wa watu zaidi ya mmoja ndio unapelekea kupata hitajio.
Hivyo,hilo au hayo magoli wasingefunga kama wasingepata usaidizi wa wachezaji wengine..
 
Naona hujui maana ya team..wangekuwa wanacheza tennis sawa.
Maana ya timu kwa faida yako ni kwamba mchango wa watu zaidi ya mmoja ndio unapelekea kupata hitajio.
Hivyo,hilo au hayo magoli wasingefunga kama wasingepata usaidizi wa wachezaji wengine..
Wabongo wengi hawajitumi kwenye hii michuano. ngumu sana kusajiliwa kimataifa
 
Wachezaji wengi wa kibongo hawajitambui. Na mifano iko mingi kweli kweli. Wachache wanaojitambua, ndiyo hao akina Simon Msuva, Mbwana Samatta, na wengineo wanaochezea timu za nje.

Mchezaji kama Fei Toto, unaweza hata kumcharaza viboko kwa namna akili yake nje ya uwanja ilivyo dumaa.
Yani feisal sjui hata hzo sifa anazopewa anazitoa wapi , au jwa sabababu ni mswahili mana sisi waswahili kwenye media (stream au social tupo vizur sana kujazana ujinga )
 
Hawa wazawa tunaowapambania hata Ligi ya Burundi tu wakienda hawapati namba. Kama na wao wanaume waende wakacheze nchi za wengine huko ili walipwe mishahara mikubwa. Ambia akina Majogoro , Waziri Salumu, Awesu Awesu , Feisal wakacheze Congo huko
 
Hawa wazawa tunaowapambania hata Ligi ya Burundi tu wakienda hawapati namba. Kama na wao wanaume waende wakacheze nchi za wengine huko ili walipwe mishahara mikubwa. Ambia akina Majogoro , Waziri Salumu, Awesu Awesu , Feisal wakacheze Congo huko
Wabongo wengi ustar mwingi.
Namkubali sana yule dogo anaitwa Novatus dismas, anacheza nje ila akija timu ya taifa anakichafua utadhani ndio siku ya kwanza kapewa nafasi sio hawa kina feisal wanaocheza kifaza.
 
Back
Top Bottom