Kimataifa: Magoli ya Simba na Yanga yote yamefungwa na wachezaji wa kigeni

Kimataifa: Magoli ya Simba na Yanga yote yamefungwa na wachezaji wa kigeni

Kilosi Cha Yanga kilichoanza,Mwamnyeto na Sureboy ndio walikuwa wabongo!
Kikosi Cha Simba kilichoanza,Kibu,Manula,Mzamiru,Kapombe na Zimbwe ndio watanzania!
Mkuu Bacca anatokea taifa Gani??
 
Na hivi Sasa huko mashuleni watoto hawatoki darasani kuanzia saa moja asubuhi hadi saa 12 jioni baada ya miaka kumi ndio hata vipaji vya kuokoteza havitakuwepo
Kama nchi tujiandae sana kuwashabikia kina Mayele na musonda au Chama na baleke na kuwajaza mamilioni
 
Yani feisal sjui hata hzo sifa anazopewa anazitoa wapi , au jwa sabababu ni mswahili mana sisi waswahili kwenye media (stream au social tupo vizur sana kujazana ujinga )
Ukweli usemweee, Fei toto aliibebaa Yanga, acheni chuki, sio kisa kakosea ndo msione umuhimu wakee, acheni husda jinsi alivyokua anajitoaa kuipambania team.

Acheni nongwaaa, hata Aziz ki hamfikii Fei. Mmmmh
 
Sio lazima wafunge,hata wakichangia kutengeza goli kama kibu inatosha,au mtasema kibu naye ni mkongo?[emoji1787]
 
Kwa Tanzania ukweli ni kwamba ujio wa hawa wachezaji wa kigeni utazisaidia kwa kiasi fulani timu hizi kubwa za Yanga, Simba na labda Azam lkn kwa taifa hamna lolote na tutaendelea kuwa wasindikizaji tu.
 
Kwa Tanzania ukweli ni kwamba ujio wa hawa wachezaji wa kigeni utazisaidia kwa kiasi fulani timu hizi kubwa za Yanga, Simba na labda Azam lkn kwa taifa hamna lolote na tutaendelea kuwa wasindikizaji tu.
Mipango ya kuendeleza timu ya taifa haipo program za michezo mashuleni zimekufa hazifanyi kitu watoto wakicheza wanazuiwa na kuambiwa watafeli so kwa timu ya taifa labda tuchukue wachezaji kutoka nje tuwape utaifa kama walivyo fanya Qatar
 
Back
Top Bottom