Kimbelembele cha wanasheria ndiyo chazo cha katiba na sheria za hovyo

Kimbelembele cha wanasheria ndiyo chazo cha katiba na sheria za hovyo

Who's prepare constitutional?


Navyojua katiba mbofu unaayona inaaababishwa na uwepo wa ukinzani wa matabaka.

Viongozi na wafanyakazi


Viongozi hujipendelea hivyo wanakuwa wanawabana watengeneza SHERIA kufavour upande wao.
 
Who's prepare constitutional?


Navyojua katiba mbofu unaayona inaaababishwa na uwepo wa ukinzani wa matabaka.

Viongozi na wafanyakazi


Viongozi hujipendelea hivyo wanakuwa wanawabana watengeneza SHERIA kufavour upande wao.
Katiba itungwe na nani sasa?
 
Wanasheria wa Kenya wanajitambua sio hawa vibaraka wa ccm!
Sikubaliani na wewe unaponipa mfano wa Kenya; Kenya ni mfano wa hovyo sana inapokuja kwenye suala la sheria. Wanasheria wao wametunga sheria matokeo ya uchaguzi yapelekwe mahakamani; wamefanya uchaguzi, wameenda mahakama; mahakama imetoa hukumu miezi sita baadaye wako barabarani wantaka saver ifunguliwe, wnasema wamepata ushahidi mpya- hao ndio wawe mfano- naomba uniruhusu tutofautiane
 
Back
Top Bottom