jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ndugu yangu jobo kwanza salamu!
Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.
...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!
...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!
Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.
Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.
Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.
Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.
Kazi njema Jobo.
Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.
...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!
...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!
Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.
Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.
Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.
Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.
Kazi njema Jobo.