Kimbuga jobo hukujipanga na sidhani kama shughuli zako utazifanya vyema hapo Tz.

Kimbuga jobo hukujipanga na sidhani kama shughuli zako utazifanya vyema hapo Tz.

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Ndugu yangu jobo kwanza salamu!

Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.

...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!

...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!

Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.

Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.

Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.

Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.

Kazi njema Jobo.
 
Ndugu yangu jobo kwanza salamu!

Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.

...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!

...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!

Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.

Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.

Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.

Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.

Kazi njema Jobo.

"Hata Corona naye hakuwa amejipanga vyema. Alilazimishwa kuondoka au kuishi kwa adabu!" - Pole pole.

Jobo, chezea Tanzania wewe?
 
Kunakijiwe nimepita nikakuta jama mmoja Ni chadema anaongelea hiki kimbunga

Aisee chadema Kuna vilaza si utani

Tatizo ni kuwa kile chama kingine nacho kwani hata kina nafuu? Hakuna pa kukimbilia.

Aliyekuwa akituhamasisha kuchapa kazi ili kuwauzia chakula wanaojikinga na ugonjwa, ugonjwa haukumnusuru na bado hatuelewi.

Si bora hata Chadema bwege wa kijiweni?

Hawa wengine si ndiyo chama mboga mboga wale wenyewe kabisa?!

Kwani hawa kina nchukuma, bajaji, mzungu na wenzao ni wa chama gani vile?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ujinga
Kwamba gwajima anaweza kuondosha kimbunga
Knowledge is a power
 
Tatizo ni kuwa kile chama kingine nacho kwani kina hata kina nafuu? Hakuna pa kukimbilia.

Aliyekuwa akituhamasisha kuchapa kazi ili kuwauzia chakula wanaojikinga na ugonjwa, ugonjwa haukumnusuru na bado hatuelewi.

Si bora hata Chadema bwege wa kijiweni?

Hawa wengine si ndiyo chama mboga mboga wale wenyewe kabisa?!

Kwani hawa kina nchukuma, bajaji, mzungu na wenzao ni wa chama gani vile?

Au nasema uongo ndugu zangu?
JPM alikufa kutokana na matatizo ya moyo full stop 🚏
 
Ndugu yangu jobo kwanza salamu!

Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.

...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!

...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!

Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.

Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.

Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.

Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.

Kazi njema Jobo.
Nakisubiri kimbunga na mafuriko niko Kisarawe kwenye eneo la mwinuko na gari ipo full tank kwa ajili ya kuchanga mbuga hatari ikizidi
 
Ndugu yangu jobo kwanza salamu!

Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.

...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!

...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!

Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.

Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.

Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.

Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.

Kazi njema Jobo.
😁😁 hakika kimbunga job ndungai kitapata tabu sana.
 
Hiki kimbunga Jobo zalagaza Jobee 🥳 kinakuja kwa speed ya Mountain bike!

Subirini kakaake kimbunga “Altezza” huyo lazma tugawane ma VX baada ya maafa! 😝😝😝
 
Back
Top Bottom