OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndugu mwanaJF hiki sio kimbunga cha Kenneth bali ni kimbunga cha ukata. Serikali iingilie kati kutafuta mdhamini hii ni club kubwa ni alama ya nchi
Updates
Zahera ametoa tamko. Mchezaji atakayesusia kesho hatampanga tena