Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mechi iliyokua ichezeke mapema leo, Merseyside Derby kati ya Everton na Liverpool maarufu Majogoo wa London, imehairishwa.
Sababu ya kuhairishwa ni uwepo Kimbunga kikubwa na dalili ya mvua isiyo na kikomo hapo baadae leo hii
Soma, Pia: Uhasama wa Everton na Liverpool ulianzia hapa
Mamlaka ya hali ya hewa UK imetoa taarifa hiyo dakika chache zilizopita
Mechi hiyo itapangiwa tarehe nyingine ya kuchezeka kwake.
Sababu ya kuhairishwa ni uwepo Kimbunga kikubwa na dalili ya mvua isiyo na kikomo hapo baadae leo hii
Soma, Pia: Uhasama wa Everton na Liverpool ulianzia hapa
Mamlaka ya hali ya hewa UK imetoa taarifa hiyo dakika chache zilizopita
Mechi hiyo itapangiwa tarehe nyingine ya kuchezeka kwake.