Mwendazake Angelikua hai, hizi habari za Jobo zikamkuta Akiwa Dar angekimbilia Dodoma au Chato
Hapo angekuwa tayari anapiga hesabu za kuzuia michango ya maafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake Angelikua hai, hizi habari za Jobo zikamkuta Akiwa Dar angekimbilia Dodoma au Chato
Yeah nikweli mkuuKwa kinyaki kinaitwa kafulafumbi!
kimbia🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Hapa nilipo upepo unavuma sana nahisi ndio chenyewe kipo njiani.
Kazi iendelee.Nasikia kitaisha nguvu kabla hakijatufikia
View attachment 1762218
Kuharibu legacyJobo atakua ametumwa na Mabeberu
Mtwara mpo salama tujuzeni hali ikoje?Tumeambiwa kimbunga hiki hakijatokea eneo la ukanda wa Afica mashariki kwa takribani miaka 70.
Hapa ni sehemu maalum kuhabarishana yanayojiri hasa mliopo fukwe huko.
Tukumbushane pia tahadhari za kuchukua maana siku yenyewe ni leo na kesho tu kwa mujibu wa mamlaka za hali ya hewa.
Subiri kifuturu kwanza ili kiwe na nguvuJua kali kabisa hapa dsm,hakuna dalili yoyote labda kama hakijaanza safari ya kuja huku........ngoja tuwasubirie hawa wenye vina saba na Sheikh Yahya watasemaje.......
Jobo ni mdogo ake Jobu NdugaiJobo atakua ametumwa na Mabeberu
Hata Dsm ni mkoaSisi wa mikoani tunasoma maoni tu!
😂😂😂😂😂Wakuu naskia kipo dodoma sahiz kinaitwa JOBO NDOGOI
Nasikia ukikimwagia chumvi na ungo na mwiko kinasepa.Daah aisee sijui kimetokea wapi hiki kifalafumbi...
Dunia ina majanga sana sasa hivi mkuuNasikia ukikimwagia chumvi na ungo na mwiko kinasepa.
He lives rent free in your headHapo angekuwa tayari anapiga hesabu za kuzuia michango ya maafa.