Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MTANZANIA620

Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
65
Reaction score
81
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Soma Pia: Kimei aweka rekodi nyingine kwa kufanikisha mradi wa ukamilishaji daraja la Sembeti - Samanga
Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

20240730_140630.jpg
 
Kimei alidanganywa kuwa akigombea ubunge atateuliwa kuwa waziri wa fedha. Maskini ya Mungu anasugua benchi tu na viposho vya ubunge, ambayo havifikii hata nusu ya mrupurupu ya ubosi wa CRDB.
 
Huyu asijisumbue hamna cha maana amefanya vunjo tangu amekua mbunge kimsingi tunaenda kumng’oa. Barabara mbovu mno anagalia barabara za immi,kyuu hadi kilema chini zotebovu ngangu na nk vunjo imerud nyuma miaka 10

Mimi binafsi nakwenda kutangaza nia tulete maendeleo kwa wananchi hawa walioshiba hawajali Maendeleo ya vunjo
 
Hana kitu vunjo, asijitese kuchukua fomu. Kwanza hajawahi kushinda uchaguzi vunjo
 
Huyu yuko kwenye list ya wabunge mizigo.
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi
Dr. Kimei amshukuru sana Mungu, mazungumzo ya maridhiano yalivunjika, vinginevyo hata awake rekodi juu ya rekodi, jimbo la Vunjo lilikuwa earmarked kuingizwa kwenye majimbo ya kugawana nusu mkate, hivyo Kimei asingesimamishwa!.
P
 
Huyu asijisumbue hamna cha maana amefanya vunjo tangu amekua mbunge kimsingi tunaenda kumng’oa. Barabara mbovu mno anagalia barabara za immi,kyuu hadi kilema chini zotebovu ngangu na nk vunjo imerud nyuma miaka 10

Mimi binafsi nakwenda kutangaza nia tulete maendeleo kwa wananchi hawa walioshiba hawajali Maendeleo ya vunjo
Tangaza nia ukiwa ndani ya CCM, walau Vunjo tutapata lolote, ukiitumia chadema tumekwisha, utendaji kuwa kama mwajuma ndani ndefu mpiga kelele!
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Hio sio kazi ya Mbubge ni kazi ya Serikali, Kazi ya Mbunge ni kutunga Sheria nzuri sana kwa faida ya nchi na wapiga kura wake,Je Kimei huwa hapigi kura ya ndio kuke Dodoma kwa miswaada mibovu inayo umiza raia wapiga kura wake?
 
Kule Dodomo, wanapiga kura za. ndio kwa kila kinacho katiza mbele yao, then wakirudi majimboni kuhadaaa wajinga kwamba wanaleta maendeleo, ni yale yale ya Abood, kule Dodoma yuko kimya na Jimboni kwake anatoa mabasi kubeba waombolezaji na wajinga wanashangilia vilivyo.
 
Kimei hana uwezo wa kushinda Ubunge. Amekosa uwaziri 2025 asipoteze vijipesa vyake vya kustaafu CRDB kuhonga mijumbe ya mi CCM myenzake ataliwa
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Kama Kimei hatajenga barabara ya Himo-Kilema kabla ya 2025 hatashinda ubunge hapa Vunjo.
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Tangu Vunjo ipate jimbo hatuja wahi kuwa na mbunge hovyo kama Kimei.
Wewe ulie weka huu uzi hapa ni chawa na hulijjui jimbo la Vunjo
 
Back
Top Bottom