Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Kimei ni failure kabisa. Kama ameshindwa kushawishi ile barabara ya kwenda Kilema hospital iwekwe lami namshauri asijisumbue 2025 ataliwa hela zake bure maana lazima apigwe chini.
 
Kimei ni failure kabisa. Kama ameshindwa kushawishi ile barabara ya kwenda Kilema hospital iwekwe lami namshauri asijisumbue 2025 ataliwa hela zake bure maana lazima apigwe chini.
Ya Himo sokoni tu imemshinda kila siku ni ngonjera tu pasipo utekelezaji
 
Tangu Vunjo ipate jimbo hatuja wahi kuwa na mbunge hovyo kama Kimei.
Wewe ulie weka huu uzi hapa ni chawa na hulijjui jimbo la Vunjo
Na Jimbo la vunjo tangu mfumo wa vyama vingi uanze hakuna mbunge alisha ongoza kwa vipindi viwili mfululizo. Vunjo ni jimbo la watu wanao jitambua sana ni ngumu kuwa honga.
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Hapo anataka kuwahi wapi
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine katika kufuata huduma, usafirishaji wa mazao, vifaa vya ujenzi pamoja na kuvutia wakazi wapya katika maeneo hayo. Mradi huo unagharimu shilingi milioni 423 na unatarajiwa kukamilika Novemba 20, 2024.

Dkt Kimei anasema anamshukuru Mungu sana kwa ajili ya Rais Samia Suluhu Hassan kwani katika kipindi cha miaka takribani minne Jimbo la Vunjo limepata takribani shilingi bilioni 41 katika miradi ya maendeleo ambayo ni rekodi haijapata kutokea hapo kabla. Akitoa mifano amesema

Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na zahanati 13 tu za serikali. 2021 mpaka leo wamefanikiwa kupata fedha za kujenga zahanati mpya 12 na kufanya zahanati kuwa 25 na zote zimepata wataalam, dawa na vifaa tiba hivyo wananchi wanapata huduma karibu zaidi na gharama nafuu.

2. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vitongoji 155 tu kati ya 346 ndio vilivyofikiwa na umeme. 2021 mpaka leo wameongeza vitongoji 153 na kufanya jumla ya vitongoji 308 kati ya 346 kuwa vimefikiwa na umeme.

3. Mpaka mwaka 2020 Vunjo ilikuwa na vituo vya afya viwili vya Mwika Msae na Kirua Vunjo ambavyo vilijengwa kabla ya uhuru na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo. 2021 mpaka leo Vunjo imepata vituo vipya vya afya vitatu Marangu Hedikota (kimekamilika na kinatoa huduma, bado kazi za mwisho kwenye jengo la mama na mtoto), Kahe (kimekamilika na kinatoa huduma), Koresa (kipo mbioni kuanza ujenzi) na kituo cha wagonjwa wa Nje (OPD) Himo kimepandishwa hadhi kuwa kituo kamili cha afya (kimepata mashine ya matibabu ya meno, gari la wagon, ultrasound, digital x-ray, vitanda vya wagonjwa na wajawazito kujifungua pamoja na wataalam mbalimbali wa afya)

Ndio maana wanasema awamu hii Dkt Kimei anaweka rekodi juu ya rekodi

View attachment 3073654
Mbona tulikiwa tunadangaywa kwmaba Kilimanjaro Kila kitu kipo.kukbe ni fix za wachaga 🤣🤣🤣
 
Mbona tulikiwa tunadangaywa kwmaba Kilimanjaro Kila kitu kipo.kukbe ni fix za wachaga 🤣🤣🤣
Sasa kama Kilimanjaro ipo hivyo jiulize hiyo mikoa mingine ina hali gani and by the way serikali ndio imekuwa ikifanya makusudi kutopeleka huduma kule hasa kipindi cha Magufuli. Ila sekta binafsi ilisaidia sana kwenye Afya miaka mingi.
 
Sasa kama Kilimanjaro ipo hivyo jiulize hiyo mikoa mingine ina hali gani and by the way serikali ndio imekuwa ikifanya makusudi kutopeleka huduma kule hasa kipindi cha Magufuli. Ila sekta binafsi ilisaidia sana kwenye Afya miaka mingi.
Ina Hali nzuri kushinda hiyo Banana Region
 
Ina Hali nzuri kushinda hiyo Banana Region
Mkoa wa Dodoma wenye nyumba za tembe mnalala na wanyama nyumba moja ndio mna hali nzuri. Mikoa mingine umeme umefika kwenye kata na vijiji viwili kati ya 4 huko sisi tulikuwa zamani sana sasa hivi zimebaki vitongoji vichache sana.
 
Back
Top Bottom