SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Kaskazini kumeshaendelea,Sasa Ni zamu ya mikoa mingine-boss wa Chato enzi zake.Mwambie kimei aachane na haya mambo ya ajabu, kwenye Jimbo lake kijiji cha kiruweni toka mwaka 2000 tunataka umeme na haujafika. Haya ndo mambo ya kushughulikia
Hujui kupiga danadana hata 2? Mpira sio danadanaSijui nani alimwambia Kimei vijana wa kichaga wanataka kuletewa mashindano ya mpira?
Huku ndio kufirisika kiakili kwa Kimei.
Yaani mtu asiyejua kupiga hata danadana mbili anataka kuwaamsha wachaga wacheze mpira?
Yaani Kimei aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa CRDB badala ya kuja na mipango ya kuwainua vijana kibiashara, leo yupo busy na vitu vidogo vidogo hivyo vya kucheza mpira!
Vijana wakichaga hapo Vunjo wanataka mitaji, masoko na ajira za uhakika.
Nipo marangu mtoni hapa baada ya kusikia tangazo hili nimebeba mpira wangu napiga piga danadana labda wataniona wanaisajiliWachaga ndo watacheza au watakodi wachezaji kutoka mikoa mingine?
Wachagga wenyewe hawajui kucheza mpira hapo timu zitajaa mamlukiMbunge wa Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ametekeleza ahadi yake ya kuwa na ligi ya vijana wa jimbo hilo kila mwaka kwa kuanzisha Vunjo Cup.
Mashindano hayo yameboreshwa kwani amealika wataalam wa soka toka baadhi ya vilabu vinavyocheza ligi kuu kuja kubaini utajiri mkubwa wa vipaji uliopo kwenye miguu ya vijana wa jimbo hilo.
Kwa kweli Kimei amedhihirisha ni mtu wa kusema na kutenda.View attachment 2027290View attachment 2027291View attachment 2027292
Uwiiii comment ya hovyo hii kuisikia hapa jf.Sijui nani alimwambia Kimei vijana wa kichaga wanataka kuletewa mashindano ya mpira?
Huku ndio kufirisika kiakili kwa Kimei.
Yaani mtu asiyejua kupiga hata danadana mbili anataka kuwaamsha wachaga wacheze mpira?
Yaani Kimei aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa CRDB badala ya kuja na mipango ya kuwainua vijana kibiashara, leo yupo busy na vitu vidogo vidogo hivyo vya kucheza mpira!
Vijana wakichaga hapo Vunjo wanataka mitaji, masoko na ajira za uhakika.
Amna kitu mkuu endeleeni na biashara zenu za kusaka noti kwa bidii,mpira awahusu kabisa,hata shepu zenu sio za mpira au labda kama uo mpira utachezwa TBL uwenda mkatokea kwa wingi.Nipo marangu mtoni hapa baada ya kusikia tangazo hili nimebeba mpira wangu napiga piga danadana labda wataniona wanaisajili
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app