King JiluX
Member
- Jan 30, 2018
- 62
- 42
Kwahiyo hapo unajiona unaakili mwenyewe?πππKizazi hicho kiliishia siku ile binadamu walipo muua mungu na kumtundika msarabani.
Kizazi hicho kikawa hakina kazi tena maana mkuu wao (mungu) hayupo tena duniani siku hizi alifia msarabani
Kwani mtu akisema kile ambacho wewe hupendi kukisikia mtu huyo anakuwa hana akili?Kwahiyo hapo unajiona unaakili mwenyewe?πππ
AmenishangazaKwahiyo hapo unajiona unaakili mwenyewe?[emoji19][emoji19][emoji19]
Lakini si wanadai alifufuka after 3 days?Kizazi hicho kiliishia siku ile binadamu walipo muua mungu na kumtundika msarabani.
Kizazi hicho kikawa hakina kazi tena maana mkuu wao (mungu) hayupo tena duniani siku hizi alifia msarabani
Hiyo ilikuwa ni plan tu yakutaka kuonesha kwa watu kuwa mungu alirudi kwenye uhai wake.Lakini si wanadai alifufuka after 3 days?
Mungu akuhurumieHiyo ilikuwa ni plan tu yakutaka kuonesha kwa watu kuwa mungu alirudi kwenye uhai wake.
But the truth is god was killed ndio maana siku binadamu wanateseka na matatizo kibao bila msaada wowote kwani mungu alishauawa msarabani.
Jeshi la ibilis liliwahi na kumuua mungu ili kumfanya ibilis aitawale dunia kama ilivyo Leo hii mkuu
Mungu yupi anihurumie mkuu, mungu Allah, mungu jesus, mungu wa wabudha, kwa uchache tu. Fafanua mkuu mungu yupi anihurumie maana wapo wengiMungu akuhurumie
Watujuze waliotupa updates za kubadiloshwa kwa baraza la malaikaHuyo Mungu anafikika kwa namna gani?
Daaah umewaza mbali sana we jamaaa yn.....dooooohh haki ya naniTukisoma maandiko matakatifu tunaona hapo zamani kulikuwepo uwezekano wa kujua taarifa nyeti za mbinguni kama ile ya shetani kupokonywa mamlaka na kufukuzwa na kuwa imeteuliwa cabinet nyingine ya malaika kama akina Mikael, Raphael, Gabriel na malaika wengine.. Hao MASHUSHUSHU wameishia wapi kutupa update pengine baraza limebadilishwa tena!?
Hiyo ilikuwa ni plan tu yakutaka kuonesha kwa watu kuwa mungu alirudi kwenye uhai wake.
But the truth is god was killed ndio maana siku binadamu wanateseka na matatizo kibao bila msaada wowote kwani mungu alishauawa msarabani.
Jeshi la ibilis liliwahi na kumuua mungu ili kumfanya ibilis aitawale dunia kama ilivyo Leo hii mkuu
Au majasusi hao washafukuzwa kazi nao kuenea habari zisizowahusu [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Daaah umewaza mbali sana we jamaaa yn.....dooooohh haki ya nani
Kwa mujibu wa biblia hicho kizazi cha mashushushu ni wewe na wenzakoTukisoma maandiko matakatifu tunaona hapo zamani kulikuwepo uwezekano wa kujua taarifa nyeti za mbinguni kama ile ya shetani kupokonywa mamlaka na kufukuzwa na kuwa imeteuliwa cabinet nyingine ya malaika kama akina Mikael, Raphael, Gabriel na malaika wengine.. Hao MASHUSHUSHU wameishia wapi kutupa update pengine baraza limebadilishwa tena!?
Sio yeye ni shibe ndo inasumbua.Kwahiyo hapo unajiona unaakili mwenyewe?πππ
Kwahiyo nawewe hapo unajiona unaakili?Kwani mtu akisema kile ambacho wewe hupendi kukisikia mtu huyo anakuwa hana akili?
Mungu akusamehe maana unayemfuata alisema hajui aendakoKizazi hicho kiliishia siku ile binadamu walipo muua mungu na kumtundika msarabani.
Kizazi hicho kikawa hakina kazi tena maana mkuu wao (mungu) hayupo tena duniani siku hizi alifia msarabani