Kimeishia wapi kizazi cha mashushushu wa mbingu

Kimeishia wapi kizazi cha mashushushu wa mbingu

Kizazi hicho kiliishia siku ile binadamu walipo muua mungu na kumtundika msarabani.

Kizazi hicho kikawa hakina kazi tena maana mkuu wao (mungu) hayupo tena duniani siku hizi alifia msarabani
alifufuka mkuu
 
Mbona wamejaa sana tu. Wapo akina nabii Majestic a.k.a Nabii Frank wa Tanga kama wenyewe wanavyomwita, wapo kibao tu kila siku wanajitangaza kupitia Channel ten na channel zingine. Ngoja tutawauliza watujuze kinachoendelea huko anga za juu sana.
Hao ni wachumia tumbo, ndio maana kila mtu ana mafundisho yake, lkn wanadai wametumwa na Mungu mmoja
 
Tukisoma maandiko matakatifu tunaona hapo zamani kulikuwepo uwezekano wa kujua taarifa nyeti za mbinguni kama ile ya shetani kupokonywa mamlaka na kufukuzwa na kuwa imeteuliwa cabinet nyingine ya malaika kama akina Mikael, Raphael, Gabriel na malaika wengine.. Hao MASHUSHUSHU wameishia wapi kutupa update pengine baraza limebadilishwa tena!?
Soma biblia usiwe mvivu
 
Hizo ni hadithi zimekuja na kuondoka mungu hayupo

Kwanini nasema mungu hayupo na hakuwahi kuwepo?

Jibu mungu hawezi kujitetea mpaka watu wa kawaida wamtetee lakini zamani ilikuwa mungu anajitetea na anawaadhibu watu hapo kwa hapo mfano sodoma,gharika ya nuhu

Mbona siku hizi hajitokezi huyo mungu na malaika wake utakuja kuona hizo zote ni stori wala hazikutokea kweli
 
Ingekuwa ufufuko ni kweli matatizo yote duniani yangeisha. Ni fix ya aina yake ! Resurrection is not a historical event !!
 
Kizazi hicho kiliishia siku ile binadamu walipo muua mungu na kumtundika msarabani.

Kizazi hicho kikawa hakina kazi tena maana mkuu wao (mungu) hayupo tena duniani siku hizi alifia msarabani
Hiyo ni kufuru, iko siku utakuja ijutia. Mungu hazaliwi wala hafi kwakuwa hizo ni sifa za kiumbe.
Kujua kwingi kutakughalimu.
 
Hiyo ilikuwa ni plan tu yakutaka kuonesha kwa watu kuwa mungu alirudi kwenye uhai wake.

But the truth is god was killed ndio maana siku binadamu wanateseka na matatizo kibao bila msaada wowote kwani mungu alishauawa msarabani.

Jeshi la ibilis liliwahi na kumuua mungu ili kumfanya ibilis aitawale dunia kama ilivyo Leo hii mkuu
Aisee
 
Hizo ni hadithi zimekuja na kuondoka mungu hayupo

Kwanini nasema mungu hayupo na hakuwahi kuwepo?

Jibu mungu hawezi kujitetea mpaka watu wa kawaida wamtetee lakini zamani ilikuwa mungu anajitetea na anawaadhibu watu hapo kwa hapo mfano sodoma,gharika ya nuhu

Mbona siku hizi hajitokezi huyo mungu na malaika wake utakuja kuona hizo zote ni stori wala hazikutokea kweli
kwa hiyo hapa unakubali uwepo was Mungu kwa kipindi kilichopita na si sasa!
 
Hiyo ilikuwa ni plan tu yakutaka kuonesha kwa watu kuwa mungu alirudi kwenye uhai wake.

But the truth is god was killed ndio maana siku binadamu wanateseka na matatizo kibao bila msaada wowote kwani mungu alishauawa msarabani.

Jeshi la ibilis liliwahi na kumuua mungu ili kumfanya ibilis aitawale dunia kama ilivyo Leo hii mkuu
Yeye mwnyw alisema kwa maandiko,kuwa kuamini injili yaani maisha yake Mungu(yesu) kwa mtu anayejidai mwerevu ni ngumu sana,yaani ulivyoandika bila shaka ww ni msomi na sio msomi Wa madesa,bali umesoma vitabu na mitandao,yaani umepoteza muda wako kutafuta majibu aka knowledge na ni kweli inawzkn unayo.

Maandiko yanasema wazi khs mtu km ww,nguvu ya Mungu kwako ni upuuzi,hasa pale Bwana anaposema njooni kwangu mjifunze kwangu,maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi,yaani eti uamini tu ya kwamba Mungu alishuka akaacha mamlaka yake,akafa kwa akili ya dhambi zetu na siku ya tatu akafufuka,na kwa imani ya hilo tu tunapata wokovu,so kinachotupeleka mbinguni sio matendo yetu tena Bali imani ktk jina lake,hilo kwa mtu mwerevu na msomi km ww ni upuuzi lkn ni kweli.
 
Wenye hekima ya hii dunia, wanajiamini wenyewe, wanaona hekima yao ndio iliyowaumba na kuwapa mahitaji yao yote ya asili kama maji, hewa, chakula nk.
Kwenye vijiwe vyao huwa wanasema
" hakuna Mungu "
 
Back
Top Bottom