Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Chadema mngejikita kwenye kujenga chama chenu kinachoporomoka ya CCM hamuyawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una cheo ndani huko CDM mimi ni tu mmoja ambaye nina cheo kikubwa sana kutoka kwa mja wa yote Allah!.Wewe ni nani kiasi cha kupanga mambo ya watu ?
Kwahiyo watu sikuhizi hamtaki ata waTanzania wapate habari zinazotolewa na magazeti yetu? Kweli nchi tumefikia pabaya sana.Kiakili ni ngombe purely
WANA CCM WA KWELI TUNA MIPAKA YETU,NA NJIA TUNAYOITUMIA ENDAPO MWANACHAMA MIONGONI ANA DUKUDUKU FULANI KUNA VIKAO VYA CHAMA VYA NDANI.(kwenye vikao hivi unaweza kutoa uharo wako wote tukausikiliza tukautolea maamuzi)Kwahiyo watu sikuhizi hamtaki ata waTanzania wapate habari zinazotolewa na magazeti yetu? Kweli nchi tumefikia pabaya sana.
Mbona Mpina mnamgwaya ?WANA CCM WA KWELI TUNA MIPAKA YETU,NA NJIA TUNAYOITUMIA ENDAPO MWANACHAMA MIONGONI ANA DUKUDUKU FULANI KUNA VIKAO VYA CHAMA VYA NDANI.(kwenye vikao hivi unaweza kutoa uharo wako wote tukausikiliza tukautolea maamuzi)
HANA IMPACT YOYOYE HUYO!Mbona Mpina mnamgwaya ?
Bora ng'ombe utamla nyama kuliko mafisiKiakili ni ngombe purely
Kumuwekea nanaki *** kwenye Jina lake, unamaanisha nini!!!TAHADHARI.....
Wenye mamlaka huko kwenye chama,angalieni hili swala la Balozi Karume kwa jicho la tatu.
Wazee wetu kina Malecela,Cleopa,Rafiki yetu Yussuph Makamba,Jakaya,Abduu*Kinana* na prof kule Mbeya ingieni muokoe hili jahazi.
Muungano wa Tanu na ASPHuu muungano wa Tanu na Zanzbar unaenda kuvunjika