KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

Ikiwa ni takribani siku zimepita baada ya Picha za mchumba wa diamond kuzagaa akiwa yupo na mwanaume mwingine huku akiwa nusu utupu.
Diamond ameelezwa kusikitishwa na picha hizo na kusema
"..ni bora kula na kuwaacha tu maana mambo wanayotufanyia sio..."

Zari TheLadyBoss ambaye na yeye amejitahidi kueleza sana lakini imeshindikana mpaka sasa, pamoja na kuweka picha za kuonesha ukweli wote lakini bado diamond fans wameshindwa kumuelewa

Uzi umeletwa huku duh
 
Haya maisha ya insta shida sana sasa alishindwa kumpigia simu akamtolee povu mpaka aweke comments insta ??
 
Daaa nimecheka sana kama kuna jambo Mange kazungumzia/kasema mtujuze tusibishe tena wala kuhoji
hahahahaha mbavu zangu.
hahahahahaha kwakweli Kumbe Mange ameshasema? basi mimi nilisema kabla ya Mange kusema...
hakika mimi ni nani mpaka nimbishie Mange?
Huyo mange alikukosea nini? Maana kila post lazima umtaje!
Halafu ile kishabiki shabiki ! Mwanaume gani unashadadia masuala ya mwanamke?
 
Huhuuuuuuu kama ni kweli na sio kick kama kawaida ya Diamond nitafanya sherehe.

Ni muda sasa namfuatilia Diamond ktk page yake ya Insta naona kafuta posts mbalimbali zinazomhusu Zari (Kifo cha Ivan),ila sijajua kama angefikia hapa.
Tusubiri na tuone...

Naombeaje kuhusu Misa baby iwe kweli sasa jamani? Uwiiiiiiiii
Haki siwezi kusubiri kumuona Hamisa ndani ya madale.

Maisho atarudi kwa mama ubaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani jamaa kaingiza mkono wote umezama! Angalia vizuri picha, vidole vya jamaa havionekani kabisa halafu ndio utuambie ni cousin. Mhn, Diamond unachapiwa ndugu yangu
 
Katika siku diamond kanikera ni leo. Kiki za kishamba shamba upuuzi mtupu.

Ndio shida ya kudate na watu ambao hawakui kiakili hii
 
Back
Top Bottom