KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

Diamond ni mkurupukaji sana!

Hata kama ni kweli, anatakiwa kuwa na staha hata kama atamwacha. Huyu ni mwanamke aliyemzalia watoto wawili, siyo demu tu wakawaida.

Na hapa ndipo utakapoona tofauti kati yake na Kiba. Issue ya Jokate Kiba kaihandle ki-utu uzima, siyo kudhalilishana kusikukuwa na sababu za msingi.

Ni msanii mzuri, ila ana malezi mabaya, hana classy kabisa!
 
So far Zari keshajibu kuwa hiyo picha alipigwa na mke wa jamaa aliyeko naye ktk swimming pool.
Pia kaweka picha ya jamaa na mke wake ktk hilohilo swimming pool.
Hehehe leo rahaaaaaa.
Hata ivo sijui sku iz tumekuaje mambo ya kifamilia yako unayaleta mtandaoni ili iweje kwan kwan hawawez kukaa nyumban wakayamaliza kuliko kuwapa watu faida.au kuna kitu mond anataka kukifanya anatafuta sababu by the way ndo wanaume wakisasa wanaotafuta huruma mitandaoni.mpaka mtu unaweza kujutia kua mwanaume kwa kizazi cha sasa cha wamaume wasiojiamin
 
Kwani Mange yeye anasemaje?

Bwa! Ha! Ha! Ha!

Dah...mazee umenichekesha sana.

Unajua sikuwa nategemea kuona mambo ya 'Mange keshasema' huku [sijui hata kwa nini].

Nimecheka hadi nimepaliwa na hii waffle nnayoila hapa.

Ila kama Mange keshasema ndo basi tena...huo ndo ukweli wenyewe.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Halafu nilikuwa sijaona kama umerudi kwenye signature ya zamani.

Maana nilivyoona hii thread, nikapost kwanza halafu ndo kwenda kucheki kwa Mange nikakuta ameshatupia.
 
Ikiwa ni takribani siku zimepita baada ya Picha za mchumba wa diamond kuzagaa akiwa yupo na mwanaume mwingine huku akiwa nusu utupu.
Diamond ameelezwa kusikitishwa na picha hizo na kusema
"..ni bora kula na kuwaacha tu maana mambo wanayotufanyia sio..."
Zari TheLadyBoss ambaye na yeye amejitahidi kueleza sana lakini imeshindikana mpaka sasa, pamoja na kuweka picha za kuonesha ukweli wote lakini bado diamond fans wameshindwa kumuelewa
 

Kumbe mama Tifah hata ya kiswahili anayafahamu [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa hiyo ni picha iliyo doctored?

Siku hizi kama huna akili za kutosha basi unaweza kujikuta unaburutwa huku na kule na kuaminishwa kila aina ya uzushi na takataka.
 
Zari ni mwanamke smart kichwani na mwilini na Naseeb pia akili ya maisha ni mwanaume sometimes! Doubt yangu umeolewa mume anaishi Tanzania unaishi South! Why usiishi Tanzania uende mara moja moja kuchek miradi na kuchukua watoto wakifunga shule?
 
Utajisikiaje na ww raia wakikuombea uachane na the Bold?,wanawake pendaneni bhana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…