KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

Labda hujamuelewa Mondi, anatafuta kiki tu kajipanga kufanya kitu flani, anajua picha kama hiyo watu mtaiongelea sana, ila wabongo hata kuumiza kichwa kidogo tu mmeshindwa?

Hiyo picha we unaona ni ya ukweli? huoni imefanyiwa manipulation? Au hata hiyo miti hujaiona? Swimming pool inaweza kukaa eneo la namna hiyo kweli? Ndani ya swimming pool unaona vizuri kweli mwili wa Zari? Photoshop tu isikuume moyo.

Sasa turudi kwenye makenikia ndo story ya mjini sasa hivi, mambo ya celebrities na mapenzi yao ni useless kwa watu wengine.
Mkuu kama kitu ukijui kaa kimya tu, hiyo swimming ipo hata wakina Ivan washawai pigia picha hapo.

Hizo picha zipo zaidi ya tatu sasa umeona hiyo moja then unatoa hitimisho eti 'picha feki' hata kama unampenda zari sana usiwe kipofu namna hiyo.

Diamond kama kafanya kiki kwa suala kama ilo atakua kaniboa sana, zari ni mama watoto wake hatakiwi kumuekea 'caption' za hivyo ni kumdhalilisha
 
Dogo hawezi kuachia kazi bila KIKI [emoji23][emoji23][emoji23] ukiangalia post yake ya nyuma kaonyesha kabisa ana wimbo anataka kuachia kabla ya Unlock the future,unadhani angemegewa angemwagika kibwege ivi ila anajua wabongo kwenye mitandao ya kijamii ni vilaza inabidi tu apite na sisi tupate mihemko.
 
Labda hujamuelewa Mondi, anatafuta kiki tu kajipanga kufanya kitu flani, anajua picha kama hiyo watu mtaiongelea sana, ila wabongo hata kuumiza kichwa kidogo tu mmeshindwa?

Hiyo picha we unaona ni ya ukweli? huoni imefanyiwa manipulation? Au hata hiyo miti hujaiona? Swimming pool inaweza kukaa eneo la namna hiyo kweli? Ndani ya swimming pool unaona vizuri kweli mwili wa Zari? Photoshop tu isikuume moyo.

Sasa turudi kwenye makenikia ndo story ya mjini sasa hivi, mambo ya celebrities na mapenzi yao ni useless kwa watu wengine.
Mkuu...kabla ya kuongelea jambo uwe na uhakika kwanza.
Hiyo swimming pool ipo na Zari amewahi kwenda hapo mara kadhaa.
Marehemu mumewe pia.
 
Hili ndo povu la Diamondplatumz baada yakuona mchumba wake akiogelea na shemeji!
1846a60f4ad59c5a1a7ba99b2d980581.jpg
 
So far Zari keshajibu kuwa hiyo picha alipigwa na mke wa jamaa aliyeko naye ktk swimming pool.
Pia kaweka picha ya jamaa na mke wake ktk hilohilo swimming pool.
Hehehe leo rahaaaaaa.
 
Aende zake kwa Mobeto na uwe ukweli. Zari muonyeshe huyo kijana ambaye hana heshima kwa wanawake ingawa unasingiziwa haya.
 
mm zari nmesoma nae na nmekula mzigo nirshangaa chibu alivyomuoa huyo demu
 
Shamba la kukodisha sio lako, chukua chako uondoke zako
 
Hayo amefanya baada ya kutoka msibani au kabla ya kufiwa na mumewe "kipenzi"?
 
Back
Top Bottom