Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Kinda of garbageMameneja kama wote plus ceo vs mavoko na dokii pekee aiseee
Rich amebugi sana, nimefatilia interview alizofanya kabla ya kujitoa WCB na interview ya Sallam SK, WCB wanaonekana wako very professional, nadhani Mavoko kapata washauri wabaya ambao nia yao sio kumsaidia, wanaweza kuwa ni maadui wa WCB wanamumia tu kuichafua WCB na lengo lao likitimia au kufanikiwa hawatakua na time tena na yeye na hapo ndio atajua kama alikua ananyonywa au laah, Ila mwisho wa siku atakuja kuomba msamaha kwa yote anayoyafanya leo, kiufupianajiandalia majuto ya baadae.
Kwenye maisha kila siku tunatafuta marafiki wazuri na exposure, kwa WCB Mavoko alikua amepata vyote sasa anaenda kuvipoteza.
Kinda of garbage
ila numbisa na wewe umeona mavoko alivyo toka kule kwenye majadiliano alivyo paniki afu dizain kama lips zilikua zimekauka/zimepaukaLe Panic button bwahahahahaha
Asee sikuwahi kufahamu kama na wewe una uwezo mdogo namna hiyo wa kutathmini mambo,au kuna mtu anakuandikia hizi post....?frankly speakin leo hauko vizuri.Le Panic button bwahahahahaha
ila numbisa na wewe umeona mavoko alivyo toka kule kwenye majadiliano alivyo paniki afu dizain kama lips zilikua zimekauka/zimepauka
kisaikolojia hiyo hali inaonesha umekutana na situation ambayo hukuitarajia na hivyo akili inajikuta ina struggle sana, ili usi faint mwili una regulate maji kuelekea sehem itakayo shusha presha ya mwili
na ndio matokeo ya lips kupauka.
Asee sikuwahi kufahamu kama na wewe una uwezo mdogo namna hiyo wa kutathmini mambo,au kuna mtu anakuandikia hizi post....?frankly speakin leo hauko vizuri.
Wote wawili dai na mavoco walikua wamepanic,we umemuona mmoja tu aiseee kingine mavoko mmezoea muona kideon karembwa full make up na lipshine kupendezesha nyimbo ila hapo basata kaenda yeye kama yeye orijino. Nadhan umemuona na Ceo na tracksuit yake kama anaenda mazoez ya yanga. Ile ni reality,kila mmoja kapewa fact zake,faida na hasara ya mgogoro wao
lower ur temper,don be a dull lady!!Hizo kauli nshazizoea halafu ujue sijuagi kujipendekeza na kuanza sifia mboyoyo nizoee tu hakuna anayeniandikiaga post humu.
lower ur temper,don be a dull lady!!
oooh mi nimeshafahamu tatizo ni zaidi ya mnyukano wa dai na rich.hapa tatizo ni lile lile la ki team.
HahahahahahahahahahahahahahahahaAsee sikuwahi kufahamu kama na wewe una uwezo mdogo namna hiyo wa kutathmini mambo,au kuna mtu anakuandikia hizi post....?frankly speakin leo hauko vizuri.
Hata mimi uwa ninajiuliza hivi wkati wanamwaga wino wanakuwaga wamefungwa macho yani sijui uwa hawapitii mkataba wanaoenda kusaini maana daily wasanii kugeuka kusema mikataba ya kinyonyaji............kinachompeleka mavoko ni kutoridhishwa na mkataba uongelee au usiongelee ila ukweli uko hapo.
alishikiwa bunduki wakati wa kusaini?
Rich amebugi sana, nimefatilia interview alizofanya kabla ya kujitoa WCB na interview ya Sallam SK, WCB wanaonekana wako very professional, nadhani Mavoko kapata washauri wabaya ambao nia yao sio kumsaidia, wanaweza kuwa ni maadui wa WCB wanamumia tu kuichafua WCB na lengo lao likitimia au kufanikiwa hawatakua na time tena na yeye na hapo ndio atajua kama alikua ananyonywa au laah, Ila mwisho wa siku atakuja kuomba msamaha kwa yote anayoyafanya leo, kiufupianajiandalia majuto ya baadae.
Kwenye maisha kila siku tunatafuta marafiki wazuri na exposure, kwa WCB Mavoko alikua amepata vyote sasa anaenda kuvipoteza.