Kimenuka Diamond

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
Anadaiwa kufuatiliwa kwa ukaribu na polisi akihofiwa kusafirisha 'unga' kutokana na shoo za nje ya nchi, kumiliki fedha nyingi katika akaunti.

==========

Chanzo:
GPL
 
acha upuuzi ww unakimbilia wapi? ebu weka vizuri huu udaku wako!!
 
... anadaiwa kufuatiliwa kwa ukaribu na polisi akihofiwa kusafirisha 'unga' kutokana na shoo za nje ya nchi, kumiliki fedha nyingi katika akaunti!

Inaonekana unasoma vichwa vya habari vya kurasa za kwanza many magazeti na kwenda kusimulia habari iliyomo ndani ila kujua nini kimeandikwa... A cha umbea Dogo
 
Bongo bwana hakuna jema' ukiwa huna kazi watasema mzembe, mvivu; ukijituma na mafanikio yakianza kuonekana utaskia mara hoo freemason, mara kaenda kwa waganga na saiz wameanza kumsakama kijana eti anasafirisha unga. Sasa sijui ni unga gani wanaongelea hapa? Anyway inawezekana ikawa dona, sembe au unga wa ngano. Kama vile wanefumba macho hawaoni jitihada za huyu kijana kimziki.

Inavyoonekana mnapenda kuona vijana wanahangaika mtaani au wawe mateja ili muendelee kuifirisi hii ardhi sio bure. Maana hata wewe mleta uzi umekuja kiushabiki na hili swala' kwamba umefurahaia na ndio maana umekimbia kuleta uzi kiumbeambea bila hata kueleza vizuri kilichojiri.

Kila lakheri Diamonds achana na hizi fitna' fanya yako. Kwenye mafanikio majungu, fitna na wivu havikosekani. Fanya kulingana na mapenzi ya Mungu.
 

Attachments

  • diamond.jpg
    76.9 KB · Views: 2,104
hivi diamond "ANA PESA NYINGI KWENYE ACCOUNT YAKE ENHEEE? "...MIE NILIKUWA SIJUI...KWANI ANA TSH NGAPI AU USD AU EURO NGAPI VILE?.....ANAMZIDI MZEE BAKHRESA?..AU MZEE MENGI AU METL?......HIVIANAFANYA SHUGHULI GANI KIASI CHA POLISI KUACHA KAZI ZAO WAMFUATILIE YEYE.....

KWANI UNAMUONGELEA DIAMOND YUPI...YULE ALIYEIMBA WIMBO WA "TATIZO KWETU MBAGALAAAAAA....MBELE NYUMBA NYUMA JALALAAAAAAAAA"....SIO YULE ALIYEIMBA KITORONDO...ANATEMBEA NA WEMA SEPETU?

KAMA NI HUYO BASI POLISI WETU HAWANA KAZI...MAANA SIAMINI KAMA ATAKUWA HATA NA TSHS 200M KWENYE ACCOUNT YAKE.....PESA UJUWE SIO MAKALIO KILA MTU ANAZALIWA NAYO...INATAFUTWA ILE TENA KWA AKILI KWELIKWELI......

MUSICHANGANYE UMAARUFU NA PESA....INGEKUWA PESA NA UMAARUFU VINA UHUSIANO KAMA MUNAVYODHANIA...BILL GATES ANGEKUWA MAARUFU KULIKO MICHAEL JACKSON NA KINA TUPAC....AU MZEE BAKHRESA ANGEKUWA MAARUFU KULIKO MZEE MAJUTO NA STEVE KANUMBA.

TUWE SERIOUS BANA....ARGHHHHHH...SORRY KUMBE HILI NI JUKWAA LA HABARI MCHANGANYIKO..FULL MIXED UONGO UKWELI MAJUNGU UZANDIKI FITNA NA KILA AINA YA TRASH HUTUPWA HUKU....SORRY GUYS FOR BEING SERIOUS ON STUPID ISSUE.

at least for now i do care......
 
Wivu tu unawasumbua nyie viongozi wa serikali mbovu ya buku 7,hamtaki kutuona vijana tunafanikiwa kimaisha,eti unga,washe.nzi wakubwa nyie,yaone kwanza hayooooooo! mnafikiria kujenga magereza badala ya viwanda,nyambaf zenu wote...
 

kibongobongo dogo yupo vizuri
 
mbona bakhresa anatengeneza unga hawamsemi ......... anatengeneza unga wa azam poa, azam chapati n.k

Grand PA
 
mbona bakhresa anatengeneza unga hawamsemi ......... anatengeneza unga wa azam poa, azam chapati n.k

Grand PA
huyu anatengeneza..but NDOMO wana m suspect anatransport...!?
Nzowa nae hana cha kufanya au nae katumwa na magamba!
 
kibongobongo dogo yupo vizuri

yupo vizuri wapi..

dogo anatambaa na media kujipa promo...unajuwa pesa ina styles zake za kuonge...MATENDO MAKUU YA PESA NI MATUMIZI NA INVESTMENTS...dogo kafanya nini?...

tuache ushabiki mandazi na magazeti pendwa...aseme kapiga mishe ipi kafunga mtonyo upi au ka-invest wapi?...mbona kina jigga kina p-diddy MONEY TALKS FOOLS WALKS ....mie sikubali bado.

misifa kibaoo mara ohhh dangote mara ohhhh.....aache peche mingi...wewe mtu kashindwa hata kumpa shorty wake mchongo wa maana anakaa kuzunguka naye kukata uno madisco vumbi bana.....ANGALIA P-SQUARE WAO WANAMILIKI PRIVATE JET. huyu wetu anamiliki nini?

MWAMBIENI AACHE KUCHEZA NA MEDIA..APIGE PESA AFANYE MAMBO YANYOFANANA NA PESA.

at least i do care for now.
 
Kusoma magazeti ya Shigongo niwkukosa kayi ya kufanya na kujisajili kwenye kundi la wajinga.
 

Mkuu umemaliza kma angekua na uwezo tungeona investment zke c kujenga nyumba miaka 4 kma daraja la kigamboni,mtu unakaa nyumba y kupanga y laki 4 sinza na ukoo mzima then unasema una 1bn.

Wajinga wenzake ndio watamsifia pesa ni kma mafua au kikohozi huwezi kukificha lazma utaumbuka.halafu mtu ukisema ukweli unaambiwa unamchukia pumbaf....u zao
 
Nyumba ya million 80 mwananyamala si gofu tu jamani, maana mwananyamala kiwanja tu cha robo heka ni pesa ndefu.
 
Anamiliki kijiji kijitonyama nyumba za uswazi mim mwenyewe mpangaji wake kodi 30,000 kwa mwezi, kodi iko juu sana.
 
Hawa Police wa Bongo jamani,wana wacha Mapapa wanavua Vidagaaaa,wamuache na agange njaa mweneywe chuki na roho mbaya tuu,kuna wanao nunua majumba masaki hao hawaulizwi yeye wa Mwananyamala imekua mwao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…