Kimenuka Insta; Diva adaiwa kupora mme wa mtu, Petitiman

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Kuna mwana dada anaitwa ladynaa alipost tuhuma kwamba Diva anajikomba kwa petitman kwa kumtumia sms za kimahaba
Diva akaja juu na kukanusha hajawasiliana na kutishia anakwenda polisi kadhalilishwa
Mwanadada ladynaa akaona isiwe tabu akazirusha hewani sms, diva akakiri zake lakini akadai kuitana i love you babe na daring ni uzungu tu na hakuna mahaba

Swali kwanini alikataa mwanzo?
 

Hawa ndio akina usipojipanga nitakupanga,listori kama hili huku linafata nini?!
Nngekuwa uwezo ningekuzimia data wiki nzima ili ututolee ujinga wako hapa.
 
Aisee naona madiwani leo Wamehamia NLD, kazi ipo mwaka huu CCM VS UKAWA
 
Kwa hiyo nao hawa ni celebrities?
 
Hawa ndio akina usipojipanga nitakupanga,listori kama hili huku linafata nini?!
Nngekuwa uwezo ningekuzimia data wiki nzima ili ututolee ujinga wako hapa.

We pimbi majukwaa ya elimu, siasa, kilimo nk huyaoni ukapata hayo ya maana unayotaka?

Kutwa unashinda jukwaa la celebrities kuponda post za wenzako, unafuata nini huku? Ujuaji wa kisha mba sana huu
 
Diva kujifanyaga mjuaji sasa kaumbuka mchana kweupeee chezea watoto wa Insta.... ni balaa
 
Nmemuonea huruma esma japo sio sawa kutangaza hivo duh
diva nae mmh paka la baa eti uzungu shwain zake uzungu kwa mme wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…