Halafu ruge now hana hata habaree...na kaishasahau kazi kwake sasa!Zama aliniudhi sana aliporusha ile clip ya ruge kwa mange. It's like alikuwa anatidoboleshea kuwa she is that hot to make a man cry.......but the bad side of it she fooled herself. Karma is a bitch. Alipanga kumdhalilisha ruge Leo anadhalilika yeye tena mchana kweupe. No
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ya pampazzzz"Brand my brand unaniharibia my brand [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] "
Heeee we na we vipi unazijua k za kirundi au unajiongelesha hapa?Kwa k ipi babu weee ya kuliliwa? Kwanza inawezekana Ruge alikua anajiliza ili wasiachane aendelee kuwa karibu na wanae.
Zina nini shoga??Heeee we na we vipi unazijua k za kirundi au unajiongelesha hapa?
Nacheka kirundi' mbwa mbwa mbwa mbwa'
Hawajulikani watu wenyeweSijaelewa yaaan....hill libangaloo or?
Utumbo??Hizi vurugu zote unszoziona huko insta lengo kuu ni kukuza brand, km wasemavyo wenyewe kuwa wanafanya biashara ya utumbo so hawaogopi kuchafuka!!!
Yaweza kua si yeye bongo movie si unawajua mambo yao full drama na kusengenyana!kiainaaaSasa watu maneno wametoa qapi mkwe? Hamisa lazima alilalamika kweli
First degree bachelor Ruge....haoi Leo, kesho, kesho kutwaEwaaaaa.. na alivyo mjanja akafytua wawili paaaap ili awe tofauti na wenzake apewe nyingi. Kwanza alikuaga Ruge atamuoa ndo maana akashusha haraka haraka kumbe mwenzie senior bachelor zaa at your own risk mamiyake
I like it my Dada!halafu sasa ishu ya gauni ameikuzaaa kuliko ya michango!Ila jaman turudi kwenye point ya msingi,
Kulikuwa kuna mantiki yyte ile ya kumtongoza Misa kwenye hii ishu?
Mi nafikir Zama alichemka. Alitakiwa a deal na waliosema kwann awachangishe hela af ajinasibu kuwa katoa zake peke yake. Using misa as a scapegoat ni kitu kisichokubalika
Sina u team but am trying to be fair
Yeye kaenda mwambia mtu mtu akamwambia mtu na mtu mpaka yakafika kwa ZamaYaweza kua si yeye bongo movie si unawajua mambo yao full drama na kusengenyana!kiainaaa
Mshona magunia ni nani?!![emoji3] [emoji3] [emoji3]Maneno yametoka kwenye grupu la zama la wajasilia na mshona mgunia + Wema...only this!
Hataki kufugwa au masharti ya mgangaFirst degree bachelor Ruge....haoi Leo, kesho, kesho kutwa
Bado nipo nipo....hivi tatizo ni nini kwanini haoi na ana kila kitu?
Haaahaaa.....unanifurahisha mbwewe!Km namuona faiza wa sugu anavyotamani aingilie kati mpambano na yeye apate mileage
Mpk kiwandaaLabda kama kanunua na duka lote
[emoji23] [emoji23] ametutia aibu wamanyema wote, wacha tusingizie tabia za kinyarwanda labdaWahaya wamenituma wanasema abaki tu kwenu kwao hawamtaki
Walaaa hata siyo ya Ruge wala zamaAkhaaaaaaa kwa hiyo hiyo nyumba ni ya Ruge makubwa haya mjini
Wahaya ndo kiboko yetu. Sie midomo tuNyie wa kigoma kwa sifa ndyo mnaongoza
Dooh.. ya nani sasa?Walaaa hata siyo ya Ruge wala zama