Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kina nani wamechanga kwenye magrupu au bongo movie
 
Aisee Naomba usilete lile Gazet huku utatujazia server [emoji23] [emoji2] [emoji2]
 
Kiini cha ugomvi ni Zama kuufahamisha ulimwengu kuwa sherehe ya 40 ya mwanae iligharimu milioni 20.

Malalamiko ya nguo ni madogo kuliko majisifu ya gharama za sherehe na life style yake ya sasa hivi.
Kabisa maana wengine tulikua hatujui hili wala lile.... Wala yaho maugomv yao yaliyokua yanaendelea
 
Ila zama alichokua anategemea kukipata hajafanikiwa naona kaishiwa kuchambwa tu na walimwengu [emoji16][emoji16].
Watu wamemgeuka hana hamu, alijua watu wata support kila anachokifanya kumbee....
Wamemchoka maana zama nae ana yake mjini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…